Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye masuala ya media mtu akichukya nafasi ya mtu mwingine asijaribu kuwa kama yule aliyechukua nafasi yake bali awe yeye baadaye watu watamzoea.Mnao sikliza redio vipi wale vijana b12 na adam wamefit pale kwenye kipind cha jahazi au wameleta ujana wao wa Xxxl????
Ha ha ha Wape muda mkuuNdugu Iko kipindi kinapumulia mashine
Wewe unasikiliza nn?Aisee.. watu muda muda bado mnasikiliza hivyo vipindi?
DocumentariesWewe unasikiliza nn?
Nasikiliza zaidi radio Asubuhi wakati nakwenda mihangaikoni na jioni wakati narudi maskaniAisee.. watu muda muda bado mnasikiliza hivyo vipindi?
Wanakikokota ivoivo tu
Wangepata mtu mmoja2 mwenye knowledge ya masuala ya Kisiasa kama Charles William Wa Wasafi..aaf wenyewe wakawa wachomekeaji2 ingekaa poa mno..AD+ Umwambie mambo Ya NCCR Mageuzi sijui Katiba Dooh