B-12-XXL ya Clouds FM kibarua chake matatani

B-12-XXL ya Clouds FM kibarua chake matatani

Clouds inapitia wakat mgumu sa hv huo ndo ukweli angekuwepo financial manager wa clouds humu angetupa ukwel wa mambo jins statistics za mapato zinavyotrend tangu robo ya tatu mwaka Jana mpak sa hv .....
 
Clouds inapitia wakat mgumu sa hv huo ndo ukweli angekuwepo financial manager wa clouds humu angetupa ukwel wa mambo jins statistics za mapato zinavyotrend tangu robo ya tatu mwaka Jana mpak sa hv .....
For the first time nasikia nao wanafanya promotion za matangazo.
 
Namuona Cza nae anavoandaliwa kuchukua nafasi ya Masoud Kipanya
 
For the first time nasikia nao wanafanya promotion za matangazo.


Aisee ni kweli kabisa, hata mimi nimesikia wakifanya promo ya kukaribisha matangazo.

Hii ni kiashiria kwamba sasa hv mpambano dhidi ya media zngne ni nguo kuchanika
 
Aisee ni kweli kabisa, hata mimi nimesikia wakifanya promo ya kukaribisha matangazo.

Hii ni kiashiria kwamba sasa hv mpambano dhidi ya media zngne ni nguo kuchanika
Happy hour ilikuwa ni offer ya wajasiliamali wadogo, na ilikuwa na deadline na ni bahati mbaya deadline imeisha. Na pia biashara yao ni matangazo, uliamini kuwa itafika wakati wataacha kutafuta matangazo?
 
Aisee ni kweli kabisa, hata mimi nimesikia wakifanya promo ya kukaribisha matangazo.

Hii ni kiashiria kwamba sasa hv mpambano dhidi ya media zngne ni nguo kuchanika
Sio mpambano wa media tu hata makampuni mengi yamepunguza bajeti zao za matangazo ndio maana siku hizi standards zimeshushwa ili kupata pesa zaidi
 
Daah visionaries kumbe tunao humu humu....Hatimae yametimia
 
Clouds inapitia wakat mgumu sa hv huo ndo ukweli angekuwepo financial manager wa clouds humu angetupa ukwel wa mambo jins statistics za mapato zinavyotrend tangu robo ya tatu mwaka Jana mpak sa hv .....
We umejuaje nawe sio financial manager wa hapo clouds....?
 
Back
Top Bottom