B DOZEN wa clouds huu si utangazaji hata kidogo

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Jamaa ana katabia fulani ka ajabu sana.ni mtangazaji mzuri sana tena sana.ila huwa anakera sana inapotokea anaitambulisha ngoma ya msanii hasa yule ambaye anampenda yeye.utamsikia "...anatambulisha bonge la ngoma leo,ni ngoma kali kinoma",hata leo wakati anaitambulisha ngoma ya Baraka na Ally akasema "jamaa wana bonge moja la ngoma".sasa hivi aliekwambia kwamba hiyo ngoma ni kali ni nani? Au kazi ya mtangazaji ni kusifia nyimbo na sio kuitambulisha kwa wasikilizaji? Nadhani ni vyema angetuacha sisi kama mashabiki tuamue kama ni nzuri au laa,na sio yeye kusifia.
 
Sasa kama kitu ni kipya na kina tambulishwa sokoni angetumia neno gani kwa mfano! Hapo haikua kwenye mashindano useme angeharibu kura au anapendelea. .... Nimejibu tu lkn mimi sio msikilizaji wa kipindi chake[emoji119]
 
ifike stage sote tukue ni boooooooonge la ngoma ajabu ni sauti za hatari ! ole ole ole ole oleo oooooooh nifanye nn ...nisamehe .....kiba sasa.......i want to back am sorry baby ah..........acheni tu
 
ifike stage sote tukue ni boooooooonge la ngoma ajabu ni sauti za hatari ! ole ole ole ole oleo oooooooh nifanye nn ...nisamehe .....kiba sasa.......i want to back am sorry baby ah..........acheni tu

I want you back...
Uwiiiii Kiba katisha kinoma.
Halafu nimeshtuka Baraka kampa Kiba kipande kidogo akihofia asifunikwe,still kafunikwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me nalia na Sound engeneer wao upande was TV kule. Kuna kitu nahisi hakipo sawa.
 
japo cimkubali huyo mtu mweusi kaa chungu cha maharage lakini πŸ™„una chuki zako binafsi wewe😡 me sioni tatizo la b dozenπŸ™‚
 
Sawa dozen naye apingwe tuu kama binadamu wengine
Hawezi kosa madhaifu
 
Sasa kama kitu ni kipya na kina tambulishwa sokoni angetumia neno gani kwa mfano! Hapo haikua kwenye mashindano useme angeharibu kura au anapendelea. .... Nimejibu tu lkn mimi sio msikilizaji wa kipindi chake[emoji119]
[emoji2] mkuu mbona unajitetea
 
Ulitaka asemeje?Of course ni bonge la ngoma na ndio nalisikiliza hapa sasa hivi na siuchoki.
Wivu tu unakusumbua.
Nyie ndio mnaosababisha tuishie hapahapa bongo kwa nyimbo mbofumbofu kama hizo afu mnazipenda
 
Kwa mbwembwe nlizozickia leo za b12 na nlvyokuja kuuckia wimbo are inversely proportional. Hlf ukikipamba ki2 sn hlf kikaja tofaut inakaa km umemwagiwa maji ya baridi. Teh
 
I want you back...
Uwiiiii Kiba katisha kinoma.
Halafu nimeshtuka Baraka kampa Kiba kipande kidogo akihofia asifunikwe,still kafunikwa [emoji23][emoji23][emoji23]
chezea king wa masauti TZ ni nomah eti !
 
yaan great thinkers ndo tunajadili hoja hii???@kupatwa kwa thread
 
Kwa mbwembwe nlizozickia leo za b12 na nlvyokuja kuuckia wimbo are inversely proportional. Hlf ukikipamba ki2 sn hlf kikaja tofaut inakaa km umemwagiwa maji ya baridi. Teh
Nyimbo ni mbaya sana ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…