B DOZEN wa clouds huu si utangazaji hata kidogo

B DOZEN wa clouds huu si utangazaji hata kidogo

Mbona unahangaika sana na wimbo huu? unajaribu kuconvise watu wakubaliane nawe utafikiri kwa kufanya hivyo kuna manufaa yeyote utayapata! thread ngapi umeanzisha kuhusu wimbo huu? kama wewe umeona mbaya yatosha, kwanini unahangaika?
 
Jamaa ana katabia fulani ka ajabu sana.ni mtangazaji mzuri sana tena sana.ila huwa anakera sana inapotokea anaitambulisha ngoma ya msanii hasa yule ambaye anampenda yeye.utamsikia "...anatambulisha bonge la ngoma leo,ni ngoma kali kinoma",hata leo wakati anaitambulisha ngoma ya Baraka na Ally akasema "jamaa wana bonge moja la ngoma".sasa hivi aliekwambia kwamba hiyo ngoma ni kali ni nani? Au kazi ya mtangazaji ni kusifia nyimbo na sio kuitambulisha kwa wasikilizaji? Nadhani ni vyema angetuacha sisi kama mashabiki tuamue kama ni nzuri au laa,na sio yeye kusifia.
povuuuu kwakooo
 
Amna usimlaumu b. Dozn ile nyimbo Imepew promo sana kiasi kwamba tulijua unakuja moto wa hatari kumbe nyimbo yA mazishi [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

walijua ni mazishiiiii
 
Mbona unahangaika sana na wimbo huu? unajaribu kuconvise watu wakubaliane nawe utafikiri kwa kufanya hivyo kuna manufaa yeyote utayapata! thread ngapi umeanzisha kuhusu wimbo huu? kama wewe umeona mbaya yatosha, kwanini unahangaika?
Mkuu ukisoma hii thread sijaizungumzia nyimbo bali ilikuwa kama mfano tu,na ndio maana hakuna nilipoikosoa kwamba ni mbaya,ila kutokana na ubovu wa wimbo imekuwa kama ni thread yake.ila hapa nilikuwa nakosoa utangazaji wa b dozen
 
Back
Top Bottom