Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda akakulambe, dume zimaaa, kuaibisha wanaume wenzio Tu, nyooooooooooKwni huyo jamaa anadem...nlisikia si rizik
povuuuu kwakoooJamaa ana katabia fulani ka ajabu sana.ni mtangazaji mzuri sana tena sana.ila huwa anakera sana inapotokea anaitambulisha ngoma ya msanii hasa yule ambaye anampenda yeye.utamsikia "...anatambulisha bonge la ngoma leo,ni ngoma kali kinoma",hata leo wakati anaitambulisha ngoma ya Baraka na Ally akasema "jamaa wana bonge moja la ngoma".sasa hivi aliekwambia kwamba hiyo ngoma ni kali ni nani? Au kazi ya mtangazaji ni kusifia nyimbo na sio kuitambulisha kwa wasikilizaji? Nadhani ni vyema angetuacha sisi kama mashabiki tuamue kama ni nzuri au laa,na sio yeye kusifia.
Amna usimlaumu b. Dozn ile nyimbo Imepew promo sana kiasi kwamba tulijua unakuja moto wa hatari kumbe nyimbo yA mazishi [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Mkuu ukisoma hii thread sijaizungumzia nyimbo bali ilikuwa kama mfano tu,na ndio maana hakuna nilipoikosoa kwamba ni mbaya,ila kutokana na ubovu wa wimbo imekuwa kama ni thread yake.ila hapa nilikuwa nakosoa utangazaji wa b dozenMbona unahangaika sana na wimbo huu? unajaribu kuconvise watu wakubaliane nawe utafikiri kwa kufanya hivyo kuna manufaa yeyote utayapata! thread ngapi umeanzisha kuhusu wimbo huu? kama wewe umeona mbaya yatosha, kwanini unahangaika?
Wazeee bhana!Tehee vijana mna kazi..