Ba education at muslim univ of morogoro (mum)

Ba education at muslim univ of morogoro (mum)

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
434
Amni usiamini chuo bora kinachotoa elimu bora na ya ukweli yaani mabingwa wa tasnia ya fani ya ualimu i mum pekee hp tanzania

wabillah tawfiq
 
umetumia kigezo gani?? mimi sikubaliani na wewe hata kidogo..
 
wanafanya vizuri ktk ajira,,wana walimu bora,,pia ktk masomo ya postgraduate wanafanya vema sana...mmoja wapo ni mimi
 
Ebu tuwekee program structure ya BA Ed. ya MUM kabla ya yote maana ndio kipimo cha kwanza cha elimu chuo kikuu. Vinginevyo, itakuwa porojo na wasomi hatutakiwi kufanya mambo ki porojo.
 
Hii post imenifanya nitembelee website ya chuo cha MUM. Kusema kweli kama sio bora na hawa ndugu wawe na chuo sioni sababu ya kukipa hiki chuo usajili. Naongea ukweli naomba wengine muangalie link hiyo hapo chini

Muslim University of Morogoro

Hivi chuo kikuu Deans of Faculties wote ni Ag. (Acting) halafu wote ni Assistant Lecturers (Masters)! PhD chuo kizima nimehesabu sita 6 labda wengine mnisaidie kuhesabu.
 
Hii post imenifanya nitembelee website ya chuo cha MUM. Kusema kweli kama sio bora na hawa ndugu wawe na chuo sioni sababu ya kukipa hiki chuo usajili. Naongea ukweli naomba wengine muangalie link hiyo hapo chini

Muslim University of Morogoro

Hivi chuo kikuu Deans of Faculties wote ni Ag. (Acting) halafu wote ni Assistant Lecturers (Masters)! PhD chuo kizima nimehesabu sita 6 labda wengine mnisaidie kuhesabu.

usipende kumdhalilisha mwenzio wakatianajua yupo kwenye bonge la chuo,usiingie sana huko we mwambie tu sawa na udsm,mzumbe,sua na .......... ni vyuo vya kata
 
usipende kumdhalilisha mwenzio wakatianajua yupo kwenye bonge la chuo,usiingie sana huko we mwambie tu sawa na udsm,mzumbe,sua na .......... ni vyuo vya kata

Asante, nimeelewa mkuu! Basi angepeleka hoja hii jukwaa la habari mchanganyiko. Kwenye elimu lazima litachambuliwa kielimu!
 
Hii post imenifanya nitembelee website ya chuo cha MUM. Kusema kweli kama sio bora na hawa ndugu wawe na chuo sioni sababu ya kukipa hiki chuo usajili. Naongea ukweli naomba wengine muangalie link hiyo hapo chini

Muslim University of Morogoro

Hivi chuo kikuu Deans of Faculties wote ni Ag. (Acting) halafu wote ni Assistant Lecturers (Masters)! PhD chuo kizima nimehesabu sita 6 labda wengine mnisaidie kuhesabu.
HAHAHAHA MKUU mtoa uzi anakuchora tu anaelewa ndani ya moyo wake teh teh teh
 
Sikulaumu ni Maruhani yanaongea.........
Amni usiamini chuo bora kinachotoa elimu bora na ya ukweli yaani mabingwa wa tasnia ya fani ya ualimu i mum pekee hp tanzania

wabillah tawfiq
 
Toa vigezo ndugu,usiandike tu..au unakitambulisha maana wengi hawakijui kipo wapi kwan hata tcu hakipo!!
 
Hiyo hoja yenu ya kuwa na ma dr 6 ni mfu kabisa.......tuna maprofessor watatu,,ma dr wa kutosha tu,,,,na chuo kipo na kinatambuliwa na tcu,,kipo no 11 ukitembelea ktk web ya tcu
 
Hiyo hoja yenu ya kuwa na ma dr 6 ni mfu kabisa.......tuna maprofessor watatu,,ma dr wa kutosha tu,,,,na chuo kipo na kinatambuliwa na tcu,,kipo no 11 ukitembelea ktk web ya tcu

Prof nao ni PhD...hivyo hizo PhD 6 ni prof 3 na Dr.3...Ukisema wakutosha maana yake nini?
Wangekuwa wanatosha Deans wasingechaguliwa Assistant Lecturers au Deans of Faculties haujui maana yake? Uliza waliokutangulia kusoma wakuelimishe!

Masomo mema ndugu yangu!
 
Loading...........5%.........40%..........ud*in*i.............80%........udin*i......failed!
 
Back
Top Bottom