Kwani Vatican ni mji mtakatifu?uko watu wanagonga mvinyo kwa kwenda mbeleBaa inaitwa Vatican city na WATU wametulia. Ingeitwa Makkah au Medina Bar sipati picha.
Jichanganyemakao makuu ya UTI sugu.
Niliacha kutoka night-club asubuhi baada ya kukutana na wanafunzi wangu barabarani mitaa ya Ben Pub Kinondoni wanaelekea kanisani.Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.
Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi.
Siku hizi Tabata unakutana na Small Planet, Kitambaa Cheupe, Barakuda, The Great, Kwetu Pazuri(Twest) na nyinginezo nyingi zinazoibuka kila mahali.
Leo asubuhi nawahi kazini nakutana na convo imebebana wamelewa chakari na vyupa mkononi, nikasema kweli Tabata imekuwa mpya. Tetesi za mahospitali nimesikia pia imekuwa makao makuu ya UTI sugu.
View attachment 2971533
Wanaoishi Sinza sasa hivi ni vijana wanaofanya kazikwenye saloons na massage parlors, wanafunzi, wanenguaji, bar maids, na wauzaji wa mavaziEnzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.
Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi.
Siku hizi Tabata unakutana na Small Planet, Kitambaa Cheupe, Barakuda, The Great, Kwetu Pazuri(Twest) na nyinginezo nyingi zinazoibuka kila mahali.
Leo asubuhi nawahi kazini nakutana na convo imebebana wamelewa chakari na vyupa mkononi, nikasema kweli Tabata imekuwa mpya. Tetesi za mahospitali nimesikia pia imekuwa makao makuu ya UTI sugu.
View attachment 2971533
Poleaisee ..... mafuta yangu yapo karibu hapa
Kilikuwa kiwanja changu cha bata hapo ila ndio ilishafungwa, nikitoka nahamia C PARK kula muziki live wa dansi ambayo nayo ishakufa.Niliacha kutoka night-club asubuhi baada ya kukutana na wanafunzi wangu barabarani mitaa ya Ben Pub Kinondoni wanaelekea kanisani.
Niko chweeee.....wakanipokea mkoba nayumba balaa.
Mpaka leo, ikifika saa 8 usiku ni mwisho wa kukaa bar/nightclub.
Sitaki dhalili mimi.
Weekend ni pale The Bistro au Bambalaga kuruka majoka na wazazi wa wanafunzi wanguWeekend hii wap, teacher nataka nikupe ofa za Amarula na Kiwingu madam!
Acha tuKilikuwa kiwanja changu cha bata hapo ila ndio ilishafungwa, nikitoka nahamia C PARK kula muziki live wa dansi ambayo nayo ishakufa.
Ilishawahi kunitokea hapo ben pub. Unakula starehe unajisahau unatoka nje unakuta jua kali watu wanaendelea na shughuli zao.Acha tu
C Park Matema na Ben, ilikuwa unavuka tu barabara.
Tukitoka hapo tunakutana PapiChulo.
Hv unakumbuka Ben Pub na ule mlango wa tinted?
Unajua bado hakujakucha, ukifungua mlango tu, saa 4 asubuhi ... nachoka hoi
Zimeuaaa nduguu wengi SanaaEnzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.
Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi.
Siku hizi Tabata unakutana na Small Planet, Kitambaa Cheupe, Barakuda, The Great, Kwetu Pazuri(Twest) na nyinginezo nyingi zinazoibuka kila mahali.
Leo asubuhi nawahi kazini nakutana na convo imebebana wamelewa chakari na vyupa mkononi, nikasema kweli Tabata imekuwa mpya. Tetesi za mahospitali nimesikia pia imekuwa makao makuu ya UTI sugu.
View attachment 2971533