Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Sawa sawaKwa mangi dukani
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaKwa mangi dukani
Ova
Ahaa sawaTutahamia sayari ndogo pale Bima.
[emoji1] wanaponda wakati hao hao anawaponda ndiyo wanawapaShida inaanzia kwa wamiliki pia.
Tajiri Mlokozi anakejeli Wahitimu wa Degree kwamba ni Mbumbumbu kwa sababu hawana hela kama yeye na kwanba hakuna wanachojua.
Anasahau pesa anayoingiz inatokana na wanancachi hao hao.
Hawa matajiri wakishapata wanawaone wenzao hawana maana hawana Mbele wala nyuma.
Sasa mtu kama huyo akiunguliwa utamsaidia vipi?
Mchungaji yupi mkuuHaya mambo yule mchungaji aliyetabiri kifo cha lowasa alitabiri pia akisema slip way,kitambaa cheupe,uwanja wa fisi na liver side anaona kuna majanga yatatokea,juzi liverside kumeungua,haya leo kitambaa duh.
Kwanini unasema kaichoma mwenyewe mkuu?Akonde vipi wakati kaichoma mwenyewe?
Haya ni mambo ya kibiashara zaidi kwenye biashara kuna michezo mingi, mingine michafu mingine misafi we husomi comments?Kwanini unasema kaichoma mwenyewe mkuu?
Bandari salama hameni, Aya!!Atakuja mtabiri mmoja aseme, utabiri umetimia
Nimesoma ndio maana nimeweza kukuuliza kuhusu dai hiloHaya ni mambo ya kibiashara zaidi kwenye biashara kuna michezo mingi, mingine michafu mingine misafi we husomi comments?
Huna stockWalevi leo tutalewa wapi?
Yaani[emoji1] wanaponda wakati hao hao anawaponda ndiyo wanawapa
Hela
Ova
Umenikumbusha survey tulikuwa na mangi wetu anatukopa konyaG kwenye kulipa tunavitana mashati balaa.ukilewa tunakulamba simu afu tunakwambia lipia bapa tukupe simu .Kwa mangi dukani
Ova
Khaaaahwacha iungue tu
hii baa imezidi usodoma na gomora