Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni katika Shamra shamra za nguvu zilizoandaliwa wiki hii , hasa baada ya Baa hiyo kufungiwa kwa matatizo ya leseni na baadaye kufunguliwa na Mkurugenzi
Wote mnakaribishwa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuwasiliene na MenejaLile bango la BANDARI(kivutio) litakuwepo?
Ndio hivyo tenaPr za kibongo bana, upuuzi mtupu tu!!!
Litakuwepo ila kutakuwa na mhariri wa hilo bango toka ofisi ya CCM.Lile bango la BANDARI(kivutio) litakuwepo?
Huyu wanaharakati kibao wamepiga kelele mitandaoni mpaka kafunguliwa bara yake, alafu anakuja na "usiku wa leseni"Ndio hivyo tena
Mbona fresh tu mkuu !Huyu wanaharakati kibao wamepiga kelele mitandaoni mpaka kafunguliwa bara yake, alafu anakuja na "usiku wa leseni"
Shenzi
Mwamba siku zile nimekucheki tule bia sikukuona kabisa..Wapo vizuri sana nilikesha hapo sikutamna kutoka kwa mwaza hapo palinivutia sana
Ulizingua wewe mzeeMwamba siku zile nimekucheki tule bia sikukuona kabisa..
Sahihi, maana hadi wafike kwetu huku unakuta wamekaa sana hata radha inapotea
Shukrani kwa masahisho Mkuu 🙏Ladha sio radha
Mie mnywa juisi naishia supermarkets tu humo mjengoni