Baa zenye mademu bomba Dar

Baa zenye mademu bomba Dar

Afu mnataka kuitokomeza ngoma (ukimwi) kwa staili hii?!! Kwenye ngoma hakuna umwamba!
 
unayempeleka ale baga halafu wako halisi ni afadhali,anakula baga na ni wangu,we unatoa 5000 kwa lisaa ila mi sitoi au hata nisipotoa anaelewa,isitoshe bado huyo wa 5000 utaanza kujishtukia hata kupima lazima presha.mnasubiriana akivua mkimaliza anamvulia mwingine after a minute
una vituko kweli,unataka kusema wanaokula baga ni waaminifu sana?
 
Sura nzuri.miguu minene.lugha nzuri na ---- kubwa kidogo!
 
una vituko kweli,unataka kusema wanaokula baga ni waaminifu sana?
Kigogo katoa mfano wa baga,mpenzi wako halisi anakuelewa kwa situation yoyote iwe baga au la,we unalala na mtu kwa lisaa moja baadaye watu kama 20 wanakuja kumlala na unaona poa?
 
Last edited by a moderator:
Saragosa ukiwa ubungo unapanda gari ya wapi ili ufike Isaje? Je bia Sh.ngapi?
 
Je ni baa gani zenye mademu wazuri ambao unaweza kuondoka nao wakati wowote mradi makubaliano? Ka vipi naoa kabisa[/QUOTE
Bora mkuu umeeleza ugonjwa wako ila fanya hima uoe wengine wake za watu hao
 
Samaki samaki - mcity. Your all welcome. The next is Calabash.
 
Piteni kidogo na Calabash.Tumeboresha, mizigo ya kumwaga! Weupe,weusi,wanene,wembamba,warefu,wafupi...kie,kie.kieee!
 
Back
Top Bottom