miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Mdogo mdogo nijimuvuzishe vinna hotel nikapate 6 za kulalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lol unanipa majaribuMdogo mdogo nijimuvuzishe vinna hotel nikapate 6 za kulalia
Mdogo mdogo nijimuvuzishe vinna hotel nikapate 6 za kulalia
hulali bila beer?
lol unanipa majaribu
Nalala.....!!!!huwa nakunywa nikijickia km hv leo
MMU ipo JF, hapa nazungumzia priorities , sasa kama mtu unawekeza muda wako mwingi kwenye mapenzi na ngono wewe utakua ni mtu wa namna gani?? kazi kuchomeka na kuchomoa tu..ndio nini hiyo...kuna muda wa kufanya mambo ya muhimu pia sio kungonoka na pombe 24/7..seriously mtu unakaa kujadili chupi tu??
Nani kakwambia dunia hii kuna wako halisi umemzaa wewe au unaota
nimejilegeza kwa muhusika babueeeee!!! ye haja complain vp wewe kudandia treni kwa mbele????? hayakuhusu kama huna wa kujilegeza nae tafuta....
sasa ndo tujiachie?dunia ilivyo kama gunia unaweza kutwa na VVU/UKIMWI uliopata kwa tendo moja unalodai makini huku hao unaowaponda wakibaki salama katikati ya lundo la ufuska!
hayo hayo ya utamuYepi???
chumbani ndo wapi,lolmambo ya chumbani mnayaleta huku !
mambo ya chumbani mnayaleta huku !
hayo hayo ya utamu
chumbani ndo wapi,lol
ndio tumeyaleta unasemaje????
potezea hebu tuyasolve hapa mana huko kwenye kuna nne na godoro moja yameshindikanakwenye kuta nne na godoro moja
Ingia ndani ya shuka babyndio tumeyaleta unasemaje????