Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Big The only tungepata mdau atupe machimbo kama haya ya kishua na Dodoma huku tukaboreshe kingereza asee
Dom bado sana .ukiona pisi kali ni malaya kaja wauzia wabunge. Hapo mm huwa naenda inoga hotel ulizia baa kwap hapo utakkutana na waheshimiwa wajanja kama mwana fa waabunge masistaduu etc naa wadangaji grade 1.
Tofaut na dar na arusha chimbo onakutana na mabaanker wa un au mademu wenye biashara zao ceo's
 
Hivi kiwanja gani Dar ukiondoa kitambaa cheupe unaweza kula bata mpaka kunakucha kuanzia jumatatu hadi alhamis..
Kuna club house iko kijitonyama .small planet na gentleman lounge zinakesha .mbez kuna juliana
 
Dom bado sana .ukiona pisi kali ni malaya kaja wauzia wabunge. Hapo mm huwa naenda inoga hotel ulizia baa kwap hapo utakkutana na waheshimiwa wajanja kama mwana fa waabunge masistaduu etc naa wadangaji grade 1.
Tofaut na dar na arusha chimbo onakutana na mabaanker wa un au mademu wenye biashara zao ceo's
Pamoja mzee ntaitafuta hiyo nianze nayo maana machimbo ya Dom mengi zimejaa wadangaji tu ukimuangalia mara mbili tu kashasogea
 
Wajuzi naomba ntililike na uzi
Kuna zile baa za mfano kitambaa juliana .wavuvi sijui elements hizo mengi ni mashindikanaa lakini kuna chimbo za kijanja za kula pisi mq banker .manesi .watumishinwa uma naomba ntaje zsngu
The hood
Hii ipo sinza mori ukienda uliza ka spiri t and wine shop haka asee kuna midada imepaki ndinga zao kali ina makalio balaa na videmu classic noma mida mizuri kuanzia saa 2 usiku
Tiriple 9
Haka kapo nyuma ya lion hotel hapa kuna vyuma unaweza changanyikiwa japo chunga kuna demu anaitwa mina ananywele kama msomari ana matako mwembamba ni jikedume ashawala sana jicho walevi
Dance club
Hapa ni survey asee nenda weekend saa 6 usiku wanachuo wamevaa uchi uwe tu na viingeleza vingi ila pia pana mashoga sana hawa ukimpiga bia mbili onesha demu yeyote umemla
Tiffany hotel
Hii iko posta bia ni elfu 5 kaka hapo mademu wa grade 1 tanzania utawakuta usipaogope ww ingia minya ghorofa ya 9 hutajuta hapo hadi mawaziri wapo
Mizizi pub
Hii iko masaki hapa pisi nyingi chotara au wamekaa mbele kiujumla ni watoto wa kishua wa masaki na mikocheni hapa ndo niko namalizia bia hapa de france nielekee hapo nkaboreshe kiingereza changu
Uuuu
 
Back
Top Bottom