Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Kitambaa cheupe malaya wakali na wadangaji wa Sinza wote wapo pale ,ila kuna kelele ,joto si la kitoto na jiuliza wale wanaokotana na kugongana tena kavu wana moyo na kuna bar moja maeneo ya magomeni wahudumu wote wana matako makubwa na wote wamekula pensi.

Kuna mademu unakutana nao mpaka unajiuliza why ameamua kuwa malaya.
Hiyo ya magomeni yaitwaje
 
Kwaiyo mkuu ume sema hapo Tiffany hotel nisiende na haka ka elfu 20 kangu ka kula siku kuu
wana happy hour kuanzia saa kumi na moja jioni mpaka saa mbili

hiyo elf 20 unapata imported bia 5

pako freshi ukimpeleka mtoto lazima akuone mshua maana kwanza ni ghorofani halafu kuna class flaniii hivi ya watu wanaoenda pale
 
Usiende na bebe wewe kwa kuwa kama mm unahela ya kawaida anzia home piga kakonyagi na msosi wa maana ugali nyama .pale unajipa bajeti ya bia 5 mara 5 ni 25 .ambayo ukiwa vichochoroni unakaa na marafiki kuwanunulia unatumiaga hiyo hiyo.usiende na mubebe utashindwa kupata marafiki wapya ww nenda kaa kaunta
We jamaa unaonekana uko very smart kichwani we jamaa unaakili sana afu mjanja I wish niwe mjanja na akili mingi kama wewe
 
Hivi kiwanja gani Dar ukiondoa kitambaa cheupe unaweza kula bata mpaka kunakucha kuanzia jumatatu hadi alhamis..
Kuna club house iko kijitonyama .small planet na gentleman lounge zinakesha .mbez kuna juliana
 
Back
Top Bottom