Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Nitaanza. Naenda mwenyewe au na bebe?

Watoto wa mjini wanasema Unavoenda Beach usibebe mchanga utaukuta uko uko.
Usiende na bebe wewe kwa kuwa kama mm unahela ya kawaida anzia home piga kakonyagi na msosi wa maana ugali nyama .pale unajipa bajeti ya bia 5 mara 5 ni 25 .ambayo ukiwa vichochoroni unakaa na marafiki kuwanunulia unatumiaga hiyo hiyo.usiende na mubebe utashindwa kupata marafiki wapya ww nenda kaa kaunta
 
Back
Top Bottom