Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
De france hakuna mademu labda nyama
soda inauzwa bei gani hapo...?Kuibua pisi yenye kibunda kawaida .ila uchunge kauli pana wazee wa suti nyeusi wengi
Hapo pana balaaYap kaka anazo mbili
Inakutosha pita grocery za chini agiza konyagi ndogo na koka piha ni 5000 kisha itisha supu ni 2000 ingia tifany piga bia 2 ushalewa ila utakutana na watu unaowaonaga kwa tv na utatolews ujinga unaosikizaga kwa rafiki zako wa kitambaaKwaiyo mkuu ume sema hapo Tiffany hotel nisiende na haka ka elfu 20 kangu ka kula siku kuu
Hivi huko ndo ukinunua Jack daniel wanakuletea na vimulimuli vya taaa huku warembo wakisindikizaaaInakutosha pita grocery za chini agiza konyagi ndogo na koka piha ni 5000 kisha itisha supu ni 2000 ingia tifany piga bia 2 ushalewa ila utakutana na watu unaowaonaga kwa tv na utatolews ujinga unaosikizaga kwa rafiki zako wa kitambaa
Dance hall iko wapi?Ngoja uzi ujae ujae.
Tabata na Sinza siendi ata niambiwe pisi bure.
Iyo Dance Club naona ya watoto.
YUTIHAYI [emoji38]Ngoja uzi ujae ujae.
Tabata na Sinza siendi ata niambiwe pisi bure.
Iyo Dance Club naona ya watoto.
Wala hana mbili, ana dushe tu ila alitumia dawa za kuongeza homons za kike ndio maana nje anaonekana wa kike na hiyo ndio definition ya Transgender,Yap kaka anazo mbili
Acha bwana ila jf hukosi kitu .mm nakaogopa sanaWala hana mbili, ana dushe tu ila alitumia dawa za kuongeza homons za kike ndio maana nje anaonekana wa kike na hiyo ndio definition ya Transgender,
Ana shoga ake anaitwa D, yeye yupo sana mitaa ya Tabata ni shombe pia