Baa zenye pisi kali aka wadangaji Dar

Big The only tungepata mdau atupe machimbo kama haya ya kishua na Dodoma huku tukaboreshe kingereza asee
Dom bado sana .ukiona pisi kali ni malaya kaja wauzia wabunge. Hapo mm huwa naenda inoga hotel ulizia baa kwap hapo utakkutana na waheshimiwa wajanja kama mwana fa waabunge masistaduu etc naa wadangaji grade 1.
Tofaut na dar na arusha chimbo onakutana na mabaanker wa un au mademu wenye biashara zao ceo's
 
Hivi kiwanja gani Dar ukiondoa kitambaa cheupe unaweza kula bata mpaka kunakucha kuanzia jumatatu hadi alhamis..
Kuna club house iko kijitonyama .small planet na gentleman lounge zinakesha .mbez kuna juliana
 
Pamoja mzee ntaitafuta hiyo nianze nayo maana machimbo ya Dom mengi zimejaa wadangaji tu ukimuangalia mara mbili tu kashasogea
 
Uuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…