Comment yako insuuza roho yangu mkuuπNdio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".
Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard wayπ.
Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Nakazia, tukichepuka wanatuona mafala sana,hawajui tunaepusha migogoro kwenye ndoaπmkuu acha kulalamika huo utakuwa udhaifu kwako.
ukitaka ndoa yako idumu tafuta mchepuko.
% kubwa ya wanaume tulio kwenye ndoa tunachepuka ili kuepukana na kadhia kama hiyo.
kulazimisha kupata penzi kwa huyo mkeo ni kumsumbua na kuwa kero kwake, mwache mkeo alee mtoto kwa amani.
Michepuko inadumisha ndoaπmchepuko ni lazima ili msikwazane na mke
kitu cha muhimu ni kuwa msiri(mke asijue)Nakazia, tukichepuka wanatuona mafala sana,hawajui tunaepusha migogoro kwenye ndoaπ
Comment ya kiutu uzima sanaComment yako insuuza roho yangu mkuuπ
Pole sana mkuu kwa matatizo hayoSorry to say this but natamani nipate mke kama wako....mimi huyo tutakaa hata mwaka manaake me pia hisia za sex ziko mbali sana...huwa kusex na mpenzi wangu mpaka anzishe utata au ninuniwe ndo nashtuka kumbe kitambo hatujasex π......yan kwangu vise versa....huyo tunafanana aisee...lakin kwangu Mimi Nina sexual dysfunction ambayo inaitwa hypoactive sexual desire disorder japo napambana nayo kwaku punguza stress pia najaribu kupata usingizi mzuri(kulala kwa wakati) na mazoezi kwa wingi...hii inasaidia
Angalizo: Pengine ana hormonal imbalance inayosababisha upungufu wa libido au hana hisia na wewe tena au humvutii kimapenzi au Kuna anae mpenda au kumvutia zaidi yako π....ila usifanye conclusion kupitia angalizo langu....jaribu mkae muongee kuliweka sawa na jaribu kumsikiliza yeye zaidi anaweza akafunguka π
Acha aongee kama ni kweli...aponye nafsiSasa uliingia kwenye ndoa kwa ajili gani? Ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu kwasababu hizi
Kwanini uanike madhaifu ya mwenza wako?
Jambo la kawaida sana hilo kwenye ndoa π1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
Akiokoka nyege zitaisha?[emoji16][emoji2][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]namshauri aokoke
Wamama wengi wakitoka ndani wanakuwa na afya sana. Akizingatia usafi inatosha sana, tatizo wengi wanapoteza interest ya mapenzi kisa mapenzi yanashift kwa mtoto. Hapo ndio wanaume hawapendi, wanaona wanatengwa.Jambo la kawaida sana hilo kwenye ndoa π
love imeshift tu kidogo, ameelekeza love na concentration yake zaidi kwa mtoto, bila shaka ni mdogoπ
hapendi kumeza dawa wala kutumia uzazi wa mpango, ana hofu kupata ujauzito wakati hayupo tayari na kitoto bado kichanga π
baadhi ya mambinti walio zaa, wawe kwenye ndoa ama la huwa wanajiona hawana thamani tena mbele za wanaume katika kipindi cha kunyonyesha, kwamba eti hawapendeki na labda wananuka maziwa kitu ambacho ni kweli baadhi ya vijana hawapendi, lakini hilo sio la maana.
Inferiority complex huwatesa sana, huwaondolea kujiaamini kabisaa, wanahisi kuchujuka na kukongoroka mno. Na hapo ndio unaona hataki mgegedo mchana, coz she feels ule urembo alikua nao haupo tena na anaona atakukera π
kumbe mubaba wa watu unampenda kwa dhati sana hivyo hivyo alivyo, umeridhika nae, unamfahamu vizuri urembo na madhaifu yake, wewe shida yako ni kupewa tu mbususu ugegede ujilalie zako. Hilo hawalijui hata π
hata hivyo,
Mlishe vizuri, mtimizie mahitaji yake muhimu, mtoto nae amnyonye ashibe vizuri, na huyo mtoto akianza kula misosi tu, na afya ya mama ikianza kusimama vizuri, urembo wake ukaanza kurejea, utaona tu anakua smart, kanga moja kwa sana..
ujue mambo ni bam bam π
kua mstahimilivu, kua na subra mtimizie mahitaji yake bila kuchoka bila kukosa, hilo litapita itarejea hali ya mwanzoni utainjoy sana π
Ni kawaida mkuu..wanawake wakipata mtoto hamu ya sex inaisha kabisa na mapenzi asilimia mia wanahamishwa Kwa mtoto. Mimi mara ya kwanza kumcheat wife ni kwemye kipindi hicho. Mwanzoni ilinipa shida, lakini kadri muda unavyoenda nikaelewa. Mimi alikuwa anamuweka mtoto katikati kabisa. Lakini kadri mtoto anavyokua na yeye anarudi kwenye hali ya kawaida.1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
Love ikishift mtu anahisi kubaniwa, that is wrong πWamama wengi wakitoka ndani wanakuwa na afya sana. Akizingatia usafi inatosha sana, tatizo wengi wanapoteza interest ya mapenzi kisa mapenzi yanashift kwa mtoto. Hapo ndio wanaume hawapendi, wanaona wanatengwa.