Baada kuwa gereza kubwa la wazi, Gaza imegeuka ni kaburi la sheria za kibinadamu

Baada kuwa gereza kubwa la wazi, Gaza imegeuka ni kaburi la sheria za kibinadamu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5
Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu.

Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka umekuja baada ya kuona mengi ambayo yamekuwa yakiendelea kinyume na yalivyo kwenye makaratasi.

Na sijui ni nani tena atakayetoka nchi za Ulaya na Marekani kwenda nchi nyengine kuhimiza utawala bora na utawala wa kisheria pamoja na demokrasia.

Mimi binafsi namuongezea kuwa Gaza ni kaburi pia la ubinadamu.

1. Hukumu ya ICJ iliyotolewa baada ya mashtaka ya Afrika kusini yamepuuzwa na hakuna aliyehoji

2. IDF wanapiga makazi ya watu kwa nguvu zote na kuua watu bila sababu na hakuna anayeizuia

3. Israel imezuia chakula kisiingie Gaza mbele ya macho ya walimwengu na wameshindwa kutumia nguvu kupitisha chakula hicho kama ilivyopendekezwa na SA.

4. Kawaida binadamu ukimshambulia mama au ndugu zake huwa mkali na lazima atatumia kila silaha aliyonayo kupigana na adui huyo.Kwa upande wa Gaza wanapigwa na kugaragazwa mbele ya macho yao lakini wao wanaendelea kula pilau zao.

War in Gaza a graveyard for humanitarian law, top EU diplomat says

 
Hamas walipovamia Israel wakaua na kuteka watu, mlishangilia wala hamkusema Mambo ya Gereza wala Kaburi. Mliwaita Makomandoo.

Leo mumebanwa makagare mnaanza kuokoteza vihabari vya kuwatetea Hamas na kutia tia huruma. Mara mposti picha watoto wamekufa. Nani aliwaambia vita ina macho? Wanawake na watoto tunasema wamekufa vitani. Hadi mtakapojifunza kuwalinda watoto wenu na wwke zetu. Otherwise mtabaki wanaume tu ndani ya mahandaki. Na bado mtanyoka. Piga hao Hamas na ndugu zao
 
Waliyataka wao acha wavune walicho panda.Mm sionei huruma mtu mtata.Kama rwanda wanaivamia kongo wanaua watu daily unyama wa kutisha unafanyika Congo .Siku wakongo wakaamua kukiwasha nao wakivamie ki rwanda mm siwezi waonea huruma.Mchokozi akichezea kichapo ni haki yake.
 
Hamas walipovamia Israel wakaua na kuteka watu, mlishangilia wala hamkusema Mambo ya Gereza wala Kaburi. Mliwaita Makomandoo.

Leo mumebanwa makagare mnaanza kuokoteza vihabari vya kuwatetea Hamas na kutia tia huruma. Mara mposti picha watoto wamekufa. Nani aliwaambia vita ina macho? Wanawake na watoto tunasema wamekufa vitani. Hadi mtakapojifunza kuwalinda watoto wenu na wwke zetu. Otherwise mtabaki wanaume tu ndani ya mahandaki. Na bado mtanyoka. Piga hao Hamas na ndugu zao
Kudadadeki 😃
 
Waliyataka wao acha wavune walicho panda.Mm sionei huruma mtu mtata.Kama rwanda wanaivamia kongo wanaua watu daily unyama wa kutisha unafanyika Congo .Siku wakongo wakaamua kukiwasha nao wakivamie ki rwanda mm siwezi waonea huruma.Mchokozi akichezea kichapo ni haki yake.
Hamas mpaka waseme
 
Waafrika hatima akili hata ya kiwango Cha nyani. Watu Bado tumeendelea kukomaa kwamba Wapalestina waendelee kufa tu kisa waliichokiza Israel wakati wenye akili wanasema GAZA inekuwa gereza la wazi miaka mingi
Nani anakudanganya na wewe unatega tu masikio kama mabakuli?Hao wanao watetea Palestina wakiwa wanaongea waangalie kama maneno yao na body language vinaendana?Waarabu wamechokwa kwa ujinga wao.Wanaanzisha dhahma wakitegemea watetewe na kulindwa na makafiri?Another upuuzi expression!
 
Nani anakudanganya na wewe unatega tu masikio kama mabakuli?Hao wanao watetea Palestina wakiwa wanaongea waangalie kama maneno yao na body language vinaendana?Waarabu wamechokwa kwa ujinga wao.Wanaanxisha dhahma wakitegemea watetewe na kulindwa na makafiri?Another upuuzi expression!
Wewe umekuja duniani Kwa hasara maana huna akili kabisa
 
Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5
Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu.
Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka umekuja baada ya kuona mengi ambayo yamekuwa yakiendelea kinyume na yalivyo kwenye makaratasi.Na sijui ni nani tena atakayetoka nchi za Ulaya na Marekani kwenda nchi nyengine kuhimiza utawala bora na utawala wa kisheria pamoja na demokrasia.

Mimi binafsi namuongezea kuwa Gaza ni kaburi pia la ubinadamu.
1.Hukumu ya ICJ iliyotolewa baada ya mashtaka ya Afrika kusini yamepuuzwa na hakuna aliyehoji

2.IDF wanapiga makazi ya watu kwa nguvu zote na kuua watu bila sababu na hakuna anayeizuia

3.Israel imezuia chakula kisiingie Gaza mbele ya macho ya walimwengu na wameshindwa kutumia nguvu kupitisha chakula hicho kama ilivyopendekezwa na SA.

4.Kawaida binadamu ukimshambulia mama au ndugu zake huwa mkali na lazima atatumia kila silaha aliyonayo kupigana na adui huyo.Kwa upande wa Gaza wanapigwa na kugaragazwa mbele ya macho yao lakini wao wanaendelea kula pilau zao.

War in Gaza a graveyard for humanitarian law, top EU diplomat says

Hamas kwanini wasiwaachie hao mateka wanang'ang'ania huku wapalestina wanakufa kama kuku wa mdondo
 
Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5
Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu.
Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka umekuja baada ya kuona mengi ambayo yamekuwa yakiendelea kinyume na yalivyo kwenye makaratasi.Na sijui ni nani tena atakayetoka nchi za Ulaya na Marekani kwenda nchi nyengine kuhimiza utawala bora na utawala wa kisheria pamoja na demokrasia.

Mimi binafsi namuongezea kuwa Gaza ni kaburi pia la ubinadamu.
1.Hukumu ya ICJ iliyotolewa baada ya mashtaka ya Afrika kusini yamepuuzwa na hakuna aliyehoji

2.IDF wanapiga makazi ya watu kwa nguvu zote na kuua watu bila sababu na hakuna anayeizuia

3.Israel imezuia chakula kisiingie Gaza mbele ya macho ya walimwengu na wameshindwa kutumia nguvu kupitisha chakula hicho kama ilivyopendekezwa na SA.

4.Kawaida binadamu ukimshambulia mama au ndugu zake huwa mkali na lazima atatumia kila silaha aliyonayo kupigana na adui huyo.Kwa upande wa Gaza wanapigwa na kugaragazwa mbele ya macho yao lakini wao wanaendelea kula pilau zao.

War in Gaza a graveyard for humanitarian law, top EU diplomat says

Mnaanzisha uchokozi wenyewe kwenda kuwachokoza makafiri kisha makafiri wanakuja kuwaua wapalestina wengi kama kuku mnakuja kulia lia dunia iwatete na mnasema hii ni jihadi sasa ndio jihadi gani?
 
Waafrika hatima akili hata ya kiwango Cha nyani. Watu Bado tumeendelea kukomaa kwamba Wapalestina waendelee kufa tu kisa waliichokiza Israel wakati wenye akili wanasema GAZA inekuwa gereza la wazi miaka mingi
Hivi hili neno la kinafiki eti gaza ni gereza la wazi siku nyingi kwa sababu ya israel mkumbuke gaza imebakana na misri pia na imepakana na bahari pia wanauwezo wakutokea huko
 
Mimi binafsi namuongezea kuwa Gaza ni kaburi pia la ubinadamu.
1.Hukumu ya ICJ iliyotolewa baada ya mashtaka ya Afrika kusini yamepuuzwa na hakuna aliyehoji
Aliyefungua hiyo kesi ICJ Africa kusini ni Muislamu mwanamama swala tano waziri wa mambo ya nchi za nje wa Afrika ya kusini

Chief Prosecutor wa ICJ ambaye aliwakilisha hayo mashtaka dhidi ya Israel ICJ ni Muislamu Karim

Ulitegemea Israel iheshimu maamuzi ya waislamu ambao inaoambana nao Gaza?
 
Aliyefungua hiyo kesi ICJ Africa kusini ni Muislamu mwanamama swala tano waziri wa mambo ya nchi za nje wa Afrika ya kusini

Chief Prosecutor wa ICJ ambaye aliwakilisha hayo mashtaka dhidi ya Israel ICJ ni Muislamu Karim

Ulitegemea Israel iheshimu maamuzi ya waislamu ambao inaoambana nao Gaza?
Kila kitu kimesimamiwa na serikali ya watu wenye akili
Sio sisi tunaopeleka watu kujifunza ugaidi kwa kisingizia cha kusoma kilimo.
 
Mpaka hapo somo limewaingia, acheni shobo kwa Wayahudi, hii sio ile miaka Waarabu walikuwa kitu kimoja kwamba ukimpiga mmoja wengine wanakushukia, leo hii kila nchi inapambana na mambo yake, hao Wapalestina wamechokwa na ndio maana wanapigwa huku dunia ikitizama haina la kufanya.
Kwanza Saudia inafanya mageuzi mengi sana yanayoacha uzombi wa hiyo dini.
 
Hiyo ni nchi yao wazayuni wavamizi ipo siku haki itashinda hata kama Hamas iliteka siyo sababu ya kuwadhibu watoto wasio kuwa na hatia
 
Hivi hili neno la kinafiki eti gaza ni gereza la wazi siku nyingi kwa sababu ya israel mkumbuke gaza imebakana na misri pia na imepakana na bahari pia wanauwezo wakutokea huko
Msijiondoe ufahamu kwa hisia za kidini ambazo tuliletewa na watalawa wetu waliowafanya kuwa watumwa. Tukiwa na free mind tunaweza kufikiri na kutenda haki.
 
Back
Top Bottom