Baada kuwa gereza kubwa la wazi, Gaza imegeuka ni kaburi la sheria za kibinadamu

Baada kuwa gereza kubwa la wazi, Gaza imegeuka ni kaburi la sheria za kibinadamu

Hata Mimi hiki kitu kinanishangaza Sana kwanini watu wengi wanatetea sana Gaza, Israeli hawakufa watoto? na wanawake?.
I mean Gaza kaanza kupiga Israeli akiwa amelala akaua watu wake,Ila Israeli alipoamua kujitetea ndio akawa kakosea?
Halafu watu wanaokomaa eti " pray for Gaza" mara sijui human rights (Tena waafrika)wengi wao ni wanafiki tu, wewe Kama unataka kupray Basi pray for victims on both countries kwa sababu hiyo ni vita na vita haina macho victims wote wanaokufa hawahusiki kabisa(refer Joshua Molel).
Mbona ndugu zetu huko Sudan na hapa Congo tu wanakufa na vita ambayo haiishi lakini Hawa wanaojiita watetezi wa watoto na wanawake na prayer warriors hawasemi kitu, what's so special about Gaza?.
Ni utetezi uliojaa unafiki kwa mihemko ya kidini eti kisa wapalestina ni waislamu ndio wanatetewa sana mbona nigeria wakristo wanakufa , mbona sudan na DRC waislamu na wakristo wanauawa hatusikii waislamu mnalalamika
 
2. IDF wanapiga makazi ya watu kwa nguvu zote na kuua watu bila sababu na hakuna anayeizuia
Hivi siku wao wananzisha vita walipiga kambi za jeshi na sio makazi ya watu na kiteka raia.

Iweje leo IDF alalamikiwe kupiga makazi ya watu? Nadhani wanalipa kisasi tu wakimaliza wataacha lkn Gaza kaskazini itabaki Zirail
 
Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5
Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu.

Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka umekuja baada ya kuona mengi ambayo yamekuwa yakiendelea kinyume na yalivyo kwenye makaratasi.

Na sijui ni nani tena atakayetoka nchi za Ulaya na Marekani kwenda nchi nyengine kuhimiza utawala bora na utawala wa kisheria pamoja na demokrasia.

Mimi binafsi namuongezea kuwa Gaza ni kaburi pia la ubinadamu.

1. Hukumu ya ICJ iliyotolewa baada ya mashtaka ya Afrika kusini yamepuuzwa na hakuna aliyehoji

2. IDF wanapiga makazi ya watu kwa nguvu zote na kuua watu bila sababu na hakuna anayeizuia

3. Israel imezuia chakula kisiingie Gaza mbele ya macho ya walimwengu na wameshindwa kutumia nguvu kupitisha chakula hicho kama ilivyopendekezwa na SA.

4. Kawaida binadamu ukimshambulia mama au ndugu zake huwa mkali na lazima atatumia kila silaha aliyonayo kupigana na adui huyo.Kwa upande wa Gaza wanapigwa na kugaragazwa mbele ya macho yao lakini wao wanaendelea kula pilau zao.

War in Gaza a graveyard for humanitarian law, top EU diplomat says

Tulikwambia humi kwamba SA hawapendi magaidi ukatutukana kwa taarifa yako wenye akili kubwa tulijua tu kuwa huo ulikuwa ni upumbavu tu wa waswahili wa SA

Sasa tuambie, Hamas wanapigika au hawapigiki?
 
Tulikwambia humi kwamba SA hawapendi magaidi ukatutukana kwa taarifa yako wenye akili kubwa tulijua tu kuwa huo ulikuwa ni upumbavu tu wa waswahili wa SA

Sasa tuambie, Hamas wanapigika au hawapigiki?
hujaeleweka kabisa.
 
Waafrika hatima akili hata ya kiwango Cha nyani. Watu Bado tumeendelea kukomaa kwamba Wapalestina waendelee kufa tu kisa waliichokiza Israel wakati wenye akili wanasema GAZA inekuwa gereza la wazi miaka mingi
Jinga wewe. Na bado mtapigwa wajinga nyie
 
Magaidi yalikua yanaua kila raia aliekua mbele yao. Haijalishi kama unahusika ama la.
Ilikua random massacre
Israel kama anafanya kile kile alichofanya Hamas,basi serikali ya israel na jeshi lake ni magaidi pia!
 
Hivi siku wao wananzisha vita walipiga kambi za jeshi na sio makazi ya watu na kiteka raia.

Iweje leo IDF alalamikiwe kupiga makazi ya watu? Nadhani wanalipa kisasi tu wakimaliza wataacha lkn Gaza kaskazini itabaki Zirail
Basi kwa kipimo hicho hicho,serikali ya israel itambulike kama serikali ya kigaidi!
 
Israel kama anafanya kile kile alichofanya Hamas,basi serikali ya israel na jeshi lake ni magaidi pia!
Inajitahidi sana kuminimize civilian casualties. Kumbuka Gaza ni dense population area na pia magaidi yanatumia miundo mbinu ya kiraia kufanya mashambulizi
 
Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5
Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu.

Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka umekuja baada ya kuona mengi ambayo yamekuwa yakiendelea kinyume na yalivyo kwenye makaratasi.

Na sijui ni nani tena atakayetoka nchi za Ulaya na Marekani kwenda nchi nyengine kuhimiza utawala bora na utawala wa kisheria pamoja na demokrasia.

Mimi binafsi namuongezea kuwa Gaza ni kaburi pia la ubinadamu.

1. Hukumu ya ICJ iliyotolewa baada ya mashtaka ya Afrika kusini yamepuuzwa na hakuna aliyehoji

2. IDF wanapiga makazi ya watu kwa nguvu zote na kuua watu bila sababu na hakuna anayeizuia

3. Israel imezuia chakula kisiingie Gaza mbele ya macho ya walimwengu na wameshindwa kutumia nguvu kupitisha chakula hicho kama ilivyopendekezwa na SA.

4. Kawaida binadamu ukimshambulia mama au ndugu zake huwa mkali na lazima atatumia kila silaha aliyonayo kupigana na adui huyo.Kwa upande wa Gaza wanapigwa na kugaragazwa mbele ya macho yao lakini wao wanaendelea kula pilau zao.

War in Gaza a graveyard for humanitarian law, top EU diplomat says

Usichokijua ni kwamba. Tukio la October 7 limepelekwa Gaza kwahiyo kazi kwenu sasa.
Nikanyage kwa bahati mbaya nikulipue kwa makusudi
 
Inajitahidi sana kuminimize civilian casualties. Kumbuka Gaza ni dense population area na pia magaidi yanatumia miundo mbinu ya kiraia kufanya mashambulizi
Wanajitahidi vipi wakati Israel imevunja record zote za vita,haijawahi kutokea!ICJ wenyewe wameanalyse hiyo vita na wameona kuwa inachofanya ina viashiria vya Genocide,wewe ni nani unapingana na watu waliobobea kwenye nyanja hizo?
 
Usichokijua ni kwamba. Tukio la October 7 limepelekwa Gaza kwahiyo kazi kwenu sasa.
Nikanyage kwa bahati mbaya nikulipue kwa makusudi
Wote wenye akili wanalijua hilo na kwamba hadithi haikuanza oktoba 7.
Jiulize kwanini Gaza hakuna majuto bali kuna maumivu tu nayo yataisha pia.
 
Kama mada imekuzidi kimo,,kaa kando tu na si majibu ya rejareja kama haya!
Ulichoandika, unanikumbusha wale wa karibu kwenye dini ya haki halafu ikifika kwenye mfungo wanaanza kuchapa watu bakora kwasababu wanakula (hawafungi)😀😀😀😀
Umeshikilia mateka halafu unasema mada imekuzidi kimo kama wale ndugu zenu waliolipuliwa wakigombea chakula cha msaada wa Marekani😀😀😀😀😀
 
Ulichoandika, unanikumbusha wale wa karibu kwenye dini ya haki halafu ikifika kwenye mfungo wanaanza kuchapa watu bakora kwasababu wanakula (hawafungi)😀😀😀😀
Umeshikilia mateka halafu unasema mada imekuzidi kimo kama wale ndugu zenu waliolipuliwa wakigombea chakula cha msaada wa Marekani😀😀😀😀😀
Subiri waje wengine ambao mnafanana uwezo wa kufikiri na kujenga hoja ndio uendelee nao!Nikutakie jioni njema!
 
Wote wenye akili wanalijua hilo na kwamba hadithi haikuanza oktoba 7.
Jiulize kwanini Gaza hakuna majuto bali kuna maumivu tu nayo yataisha pia.
Wenye akili wote wanajua hiyo ni ardhi ya Israel ndiyo maana hautaona taifa lolote linawatetea wapelestina kwasababu wapelestina ni wavamizi kwenye ardhi ya Israel.
Meenda mpaka ICJ. Holaa! Mlichoharibu ni tukio la october 7 na kuwachukua mateka mpaka sasa. Hata mm sina msaada wowote na wapelestina na wala siwezi kuwaonea huruma.
 
Back
Top Bottom