Baada tu ya kuoa, wanawake wananipapatikia hadi kero

Baada tu ya kuoa, wanawake wananipapatikia hadi kero

Ni mateso. Pesa haikai. Yaan kila ukisema upige mmojawapo bajeti haipungui 150,000 (minimum)...50,000 lodge, 40,000 vinywaji, 20,000 usafiri 30,000 uchakavu
Ongea na watu vizuri uonyeshwe chocho gharama zote haitakiwi kuzidi 35,000 unamalizana nae..
 
Wanawake waliowengi wanapenda waume za watu ili kuondoa usumbufu wa kugandana, kuchati n.k hivyo hivyo kwa wanaume

NB vitoto vya kike vya 2000 kwenye mahusiano yasiyo rasmi ni visumbufu sana kama una mke kaa mbali navyo mimi nilishatubu
 
Nitakujibu hivi:
The more spiritual a man becomes, the more attractive he is. Therefore, a woman is a spiritual supplement to a man.
Kuwa spiritual man haimaanishi mtu wa Dini , unaweza kuwa hata mganga wa kienyeji kinachoangaliwa ni ile nguvu inayoambatana na Aura yako, ki'asilia kila.mtu anazaliwa na nguvu asili ambayo haionekani.

Kurahisisha binadamu wote tunazaliwa na special Aura ambao ndio msingi wa mvuto wetu , kuna wale wenye Aura kubwa au kuzidi hawa wanakuwa na mvuto zaidi ya wale wenye Aura ndogo..
Kwa mwanaume kadri anavyofanya Sex Aura(mvuto) yake inaimarika , ndio maana kwa utafuti usio rasmi ni rahisi mwanaume ambae yupo kwenye relationship kupata mpenzi mwingine kwa haraka kuliko yule ambae ni single(Thibitisha hili mtaani kwenu) , hivyo hivyo hata kwa mwanaume alie oa.

ANYWAY hii ni somo kabisa , naandaa kitabu kitatoka soon utakutana na kwanini wanawake ni dhaifu sana mbele ya watu wa dini.

Kuna mtu atakuja kubisha hapa hasa wale wasio amini katika Spiritual world
 
Mara tu baada ya kufunga ndoa takatifu wanawake wameanza kujitongozesha si kazini, gym wala mtaani. Najiuliza walikua wapi mpaka Naoa huyu mnyakyusa wangu Atuganile?
Hiko ndio kipindi commitment yako kwa ndoa inakuwa tested, so be careful imani yako na man hood yako is tested to the max. Usiposimama hapo mwanzoni hiyo ndoa will not last past 2 years
 
Ndoa kama inavuta walimbwende vile
 
Back
Top Bottom