Baada tu ya mchezo kuisha jana wafuatao ndio wanapitia wakati mgumu

Baada tu ya mchezo kuisha jana wafuatao ndio wanapitia wakati mgumu

Yanga msitambe Sana ,kiukweli mna timu ya kawaida Sana na mkifanya ujinga wa kujiamin eti tuna timu nzur mkaacha kusajir mnatolewa mapema tu.

Pamoja na Simba kuwa na kikosi Cha wastan kwa msimu wangekua serious na mechi za mwanzon na kufanya kila mechi ni ya muhimu leo hii yangekua mengine.

Yanga mmebeba ubingwa kwa uzembe wa Simba na kuishi kwa mazoea .
Rejea mechi alizopoteza Simba na kudraw ndipo utaelewa ninachosema.

Simba wangekua serious na kujituma km ambavyo yanga walikua wanaona ni fainal kila anapokutana na timu yeyote mpaka saiz Simba na yanga wangekua wanazidiana magoli Kama sio point moja na bingwa angekuja patikana Hadi mechi ya mwisho.

Lakin ni jambo jema unapolala mwenzio anakuwahi ndicho kilichitokea na itawapa umakin Hawa Simba kutodharau mechi yoyote ile iliyo mbele yao.

Narudia Tena Simba na yanga wana vikosi vya kawaida hasa kimataifa atakayesajil vzr ndie ataonekana Ila kwa upande wa yanga kuwategemea Fei,aucho,moloko,djuma ,mwamnyeto big no.
Hyo kawaida ndugu kwani kipindi Simba inachukua si ilikuwa sababu ya uzembe wa Yanga? So usilete excuse mlikuwa bora mkabeba this time tuko bora tumebeba mambo ya ooh simba ingekuwa siriaz sijui kutodharau mechi ni kutafuta sababu tu msimu huu hamkuwa na timu nakuunga mkono kwamba kimataifa vikosi vyote ni dhaifu inatupasa tusajili ila kibongobongo huwezi kuniambia eti tunafanana!
 
Yanga msitambe Sana ,kiukweli mna timu ya kawaida Sana na mkifanya ujinga wa kujiamin eti tuna timu nzur mkaacha kusajir mnatolewa mapema tu.

Pamoja na Simba kuwa na kikosi Cha wastan kwa msimu wangekua serious na mechi za mwanzon na kufanya kila mechi ni ya muhimu leo hii yangekua mengine.

Yanga mmebeba ubingwa kwa uzembe wa Simba na kuishi kwa mazoea .
Rejea mechi alizopoteza Simba na kudraw ndipo utaelewa ninachosema.

Simba wangekua serious na kujituma km ambavyo yanga walikua wanaona ni fainal kila anapokutana na timu yeyote mpaka saiz Simba na yanga wangekua wanazidiana magoli Kama sio point moja na bingwa angekuja patikana Hadi mechi ya mwisho.

Lakin ni jambo jema unapolala mwenzio anakuwahi ndicho kilichitokea na itawapa umakin Hawa Simba kutodharau mechi yoyote ile iliyo mbele yao.

Narudia Tena Simba na yanga wana vikosi vya kawaida hasa kimataifa atakayesajil vzr ndie ataonekana Ila kwa upande wa yanga kuwategemea Fei,aucho,moloko,djuma ,mwamnyeto big no.
Simba anakarabati nyumba. Yanga anafanya finishing .Nani mjanja?
 
Hyo kawaida ndugu kwani kipindi Simba inachukua si ilikuwa sababu ya uzembe wa Yanga? So usilete excuse mlikuwa bora mkabeba this time tuko bora tumebeba mambo ya ooh simba ingekuwa siriaz sijui kutodharau mechi ni kutafuta sababu tu msimu huu hamkuwa na timu nakuunga mkono kwamba kimataifa vikosi vyote ni dhaifu inatupasa tusajili ila kibongobongo huwezi kuniambia eti tunafanana!
Sure
 
Moja ya maoni ya hovyo kabisa tangu msimu huu uanze
Yanga msitambe Sana ,kiukweli mna timu ya kawaida Sana na mkifanya ujinga wa kujiamin eti tuna timu nzur mkaacha kusajir mnatolewa mapema tu.

Pamoja na Simba kuwa na kikosi Cha wastan kwa msimu wangekua serious na mechi za mwanzon na kufanya kila mechi ni ya muhimu leo hii yangekua mengine.

Yanga mmebeba ubingwa kwa uzembe wa Simba na kuishi kwa mazoea .
Rejea mechi alizopoteza Simba na kudraw ndipo utaelewa ninachosema.

Simba wangekua serious na kujituma km ambavyo yanga walikua wanaona ni fainal kila anapokutana na timu yeyote mpaka saiz Simba na yanga wangekua wanazidiana magoli Kama sio point moja na bingwa angekuja patikana Hadi mechi ya mwisho.

Lakin ni jambo jema unapolala mwenzio anakuwahi ndicho kilichitokea na itawapa umakin Hawa Simba kutodharau mechi yoyote ile iliyo mbele yao.

Narudia Tena Simba na yanga wana vikosi vya kawaida hasa kimataifa atakayesajil vzr ndie ataonekana Ila kwa upande wa yanga kuwategemea Fei,aucho,moloko,djuma ,mwamnyeto big no.

Yanga msitambe Sana ,kiukweli mna timu ya kawaida Sana na mkifanya ujinga wa kujiamin eti tuna timu nzur mkaacha kusajir mnatolewa mapema tu.

Pamoja na Simba kuwa na kikosi Cha wastan kwa msimu wangekua serious na mechi za mwanzon na kufanya kila mechi ni ya muhimu leo hii yangekua mengine.

Yanga mmebeba ubingwa kwa uzembe wa Simba na kuishi kwa mazoea .
Rejea mechi alizopoteza Simba na kudraw ndipo utaelewa ninachosema.

Simba wangekua serious na kujituma km ambavyo yanga walikua wanaona ni fainal kila anapokutana na timu yeyote mpaka saiz Simba na yanga wangekua wanazidiana magoli Kama sio point moja na bingwa angekuja patikana Hadi mechi ya mwisho.

Lakin ni jambo jema unapolala mwenzio anakuwahi ndicho kilichitokea na itawapa umakin Hawa Simba kutodharau mechi yoyote ile iliyo mbele yao.

Narudia Tena Simba na yanga wana vikosi vya kawaida hasa kimataifa atakayesajil vzr ndie ataonekana Ila kwa upande wa yanga kuwategemea Fei,aucho,moloko,djuma ,mwamnyeto big no.
Moja ya maoni ya hovyo kabisa tangu msimu huu uanze
 
Yanga msitambe Sana ,kiukweli mna timu ya kawaida Sana na mkifanya ujinga wa kujiamin eti tuna timu nzur mkaacha kusajir mnatolewa mapema tu.

Pamoja na Simba kuwa na kikosi Cha wastan kwa msimu wangekua serious na mechi za mwanzon na kufanya kila mechi ni ya muhimu leo hii yangekua mengine.

Yanga mmebeba ubingwa kwa uzembe wa Simba na kuishi kwa mazoea .
Rejea mechi alizopoteza Simba na kudraw ndipo utaelewa ninachosema.

Simba wangekua serious na kujituma km ambavyo yanga walikua wanaona ni fainal kila anapokutana na timu yeyote mpaka saiz Simba na yanga wangekua wanazidiana magoli Kama sio point moja na bingwa angekuja patikana Hadi mechi ya mwisho.

Lakin ni jambo jema unapolala mwenzio anakuwahi ndicho kilichitokea na itawapa umakin Hawa Simba kutodharau mechi yoyote ile iliyo mbele yao.

Narudia Tena Simba na yanga wana vikosi vya kawaida hasa kimataifa atakayesajil vzr ndie ataonekana Ila kwa upande wa yanga kuwategemea Fei,aucho,moloko,djuma ,mwamnyeto big no.
aawapi...

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wakuu muwe salama msiwe salama hainihusu,kikubwa kwangu YANGA BINGWA.

Baada tu ya mchezo kuisha jana wafuatao ndio wanapitia wakati mgumu (maumivu mazito)hapa JF÷

1. GENTAMYCINE (Huyu ndo Kinrara wa kuteseka kwa msimu mzima),Alitamka zaidi maneno kama TAKUKURU,RUSHWA,UCHAWIkuliko neno MUNGU ndani ya Msimu mzma.

2. Mshana Jr

3. okwi Boban

4. Buibui

SABABU ZA MAUMIVU YAO

1.Over expectations kwa timu Lao la MAKOLO

2.Mayele kuendelea kutetema na mpaka sasa kuongoza ufungaji bora

3.Kero za Bugatti (Mdomo uliowapa raha na mbinu za ubingwa kwa zaidi ya misimu minne).

3.Sajili za kimchongo na za kitoto zinazoendelea pale UKOLOKOLONI.

Wengine jitajeni kabla sijaleta BAND kutoka Congo.
Mimi Kuna wakati niliwahi Mwamba okwi bobani🏃
 
Hivi kweli Simba ni ya kuteseka kwa ushindi misimu minne mfululizo? Yani nyie vyura ndo mnateseka maana hamuamini macho yenu. Simba ss ni rahaaa tunaipenda timu yetu iwe mvua iwe jua
 
Hivi kweli Simba ni ya kuteseka kwa ushindi misimu minne mfululizo? Yani nyie vyura ndo mnateseka maana hamuamini macho yenu. Simba ss ni rahaaa tunaipenda timu yetu iwe mvua iwe jua
Mtajua wenyewe
 
Back
Top Bottom