Baada ya Act wazalendo kuwapiga bao Chadema kisiasa. Chadema wanaeneza uongo kuwa wamejenga ofisi mikoani.

Baada ya Act wazalendo kuwapiga bao Chadema kisiasa. Chadema wanaeneza uongo kuwa wamejenga ofisi mikoani.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Jiwe la msingi limeandikwa kwa mark pen. Jengo ambalo ni duka la wananzengo.

Huu ni utapeli mkubwa sana wa kisiasa.
Screenshot_20221028-182825.jpg
 
Mbona Hilo tangazola zamani Sana , unataka ulifanye la juzi?. Acha uchonganishi.
 
Unafananisha CHADEMA na kikundi cha wahuni wenye wanachama sita bara na visiwani.
Muulize babaako JiWE alichokutana nacho alipopambana na chama kisicho na ofisi (CHADEMA)
 
Unafananisha CHADEMA na kikundi cha wahuni wenye wanachama sita bara na visiwani.
Muulize babaako JiWE alichokutana nacho alipopambana na chama kisicho na ofisi (CHADEMA)
Tukubali kukosolewa,ni aibu kuendelea kupangisha ofisi za makao makuu.
Tuendelee mpaka lini kutegemea michango ya maskini watanzania kwenye kujenga ofisi?
Fedha za ruzuku hakuna percent za kujengea ofisi?
Viongozi waache ubinafsi
 
Tukubali kukosolewa,ni aibu kuendelea kupangisha ofisi za makao makuu.
Tuendelee mpaka lini kutegemea michango ya maskini watanzania kwenye kujenga ofisi?
Fedha za ruzuku hakuna percent za kujengea ofisi?
Viongozi waache ubinafsi
Kuna kukosoa na upumbavu,aliyekuambia CHADEMA imepanga ofisi ya makao makuu ni nani?
Ukosoaji usio na ukweli uliojaa propaganda ni upuuzi.
CHADEMA inamiliki majengo mawili pale,moja ni jengo la makao makuu na moja ni Ofisi ya BAVICHA.
 
Back
Top Bottom