Baada ya Alshababu kusambaratishwa vibaya na KDF Serikali ya Somalia yaanzisha kikundi kipya cha Ugaidi dhidi ya Kenya

Baada ya Alshababu kusambaratishwa vibaya na KDF Serikali ya Somalia yaanzisha kikundi kipya cha Ugaidi dhidi ya Kenya

Mabomu kila siku sasa hadi muelewe vita za mabeberu dhidi ya wasomali hamfai kuingilia mkitafuta upendo wa mabeberu.
Tutaendelea tu kuwazika KDF,watoto wao wawachwe yatima na wake wao wawe wajane.. wala hamna mwisho wa vita na mnao pigana nao hawana gharama ya maisha yao
 
Mabomu kila siku sasa hadi muelewe vita za mabeberu dhidi ya wasomali hamfai kuingilia mkitafuta upendo wa mabeberu.
Tutaendelea tu kuwazika KDF,watoto wao wawachwe yatima na wake wao wawe wajane.. wala hamna mwisho wa vita na mnao pigana nao hawana gharama ya maisha yao
Sasa hivi wanadai hadi Isiolo kuwa ni Ardhi yao unaonaje je waachiwe tu.
 
Kenya ilifanya jambo la busara sana ilipotengeneza jamhuri mpya ya Jubaland almaarufu Azania(Asaaniya) au kwa jina lingine la kisomali Doxaada. Rais Ahmed Madobe wa Jubaland, ambaye aliungwa mkono na Kenya hadi akafanikiwa kuwa rais ana umaarufu mkubwa Jubaland zaidi ya kibaraka mwenzake rais Farmaajo wa Somaaliya. Madobe alishinda kwenye uchaguzi hivi majuzi, kwa mara ya tatu. Kenya ikikuza Jubaland hakutakuwa na haja ya kujishughulisha na hivi vita vya ukoo, vya Farmaajo na wapinzani wake kule Mogadishu.
somalia-21may13.jpg
 
Hii ni Buffer zone ambayo imeanzishwa ili kuzuia mashabulizi ya Alshababu katika ardhi ya Kenya
Raisi Uhuru Kenyatta ni Very smart na hii stratergy ni nzuri ila hawa magaidi bado waanajipenyeza kwa msaada wa Serikali ya Mogadishu.
 
Wataalamu wa mambo ya Ugaidi wanasema hichi kikundi ni sehemu ya Alshababu.
 
Marehan.png

Bendera yao hawa Magaidi wa Marehani ni hii hapa
Tukizubaa huo upanga utang'oa vichwa vyetu.
 
Umewekeza nguvu nyingi
Kupigania Watu wasio taka kupiganiwa wao full majivuno ujuaji na hawashindwi
acha Fanya yako
tetea kwenu
Kwenye hili suala la Ugaidi tuwache tofauti zetu
Kwani hawa magaidi hawachagui wanakulipua unabaki minofu.
 
Bado sio salama saana maana nchi nyingi bado haziitambui jubaland kama nchi na kitu pekee kinachowasaidia hao juba ni upole wao tu
Hii ni Buffer zone ambayo imeanzishwa ili kuzuia mashabulizi ya Alshababu katika ardhi ya Kenya
Raisi Uhuru Kenyatta ni Very smart na hii stratergy ni nzuri ila hawa magaidi bado waanajipenyeza kwa msaada wa Serikali ya Mogadishu.
 
Back
Top Bottom