Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oman ni Nchi Tajiri Sana hapana fananisha na maskini Tz ya Mwafrika anayetaka kujitambulisha na dini ya mwarabu.Oman ni nchi ya kislam lkn hakuna ugaidi
Pia mbali na kuingiliwa kisiasa TISS ni taasisi imara saana
Hakuna aliyesema Jubaland ni nchi ila ni mkoa unaosaidiwa na Kenya kiusalama ili serikali ya Mogadishu isipate Uchochoro wa kuingilia kwenye Ardhi ya Kenya.
Pamoja na yote hayo amani ya Tanzania ina misingi imara na kwa tabia za watz ni vigumu saana magaidi kufanya harakati zao ndani ya mipaka ya TzOman ni Nchi Tajiri Sana hapana fananisha na maskini Tz ya Mwafrika anayetaka kujitambulisha na dini ya mwarabu.
Hamna tishio lolote dhidi ya Kenya kutoka Ugandishu(vikosi vya Uganda ndio vinatawala Mogadishu). Kenya ilishajipanga zamani baada ya kuigawanya Somalia na kuanzisha jamhuri mpya ya Jubaland na kumueka kibaraka rais Ahmed Madobe madarakani. Jubaland ndio eneo la Somalia ambalo kwa sasa linapakana na Kenya, kutoka Ras Kamboni kuenda Kismaayo hadi Luuq kule Gedo.
haijajitenga na wala haina mpango wa kujitenga.Jubaland si imejitenga na Somalia lakini ?
Kwaiyo juba ipo chini ya KDF kimamlaka ?Jubalanda
haijajitenga na wala haina mpango wa kujitenga.
Somalia ni nchi mbili tu Somaliland na Somali ambazo ziljiunga Baada ya uhuru na Sasa zimetengana tena baada ya Majunta wa Somalia kusini kuanzisha Ethnic cleansing thidi ya Watu wa Somaliland
Wasomali wa somalia ni watu wakorofi sana halafu wana Alergy na Amani.
Mnalea nyoka mwingine tu kama Farmajo. You never learn, vita ya Usa na magaidi hufai kuingilia utaumia weweHuyo Rais wa Jubaland tulimuachia mpaka magari ya KDF
![]()
Mnalea nyoka mwingine tu kama Farmajo. You never learn, vita ya Usa na magaidi hufai kuingilia utaumia wewe
Somalia ni Federal system..... Lakini ni serekali kuu ndo inafaa kuchagua gavana/rais wa jimbo... Tofauti na kilichofanyika hapo Jubaland ambapo kiongozi wa Jubaland alichaguliwa na bunge la jubaland ambapo wengi wa hao wabunge wa Jubaland walikua wanaishi Nairobi kabla kuhamia Kismayu baada ya KDF kuukomboa huo mji....Jubalanda
haijajitenga na wala haina mpango wa kujitenga.
Somalia ni nchi mbili tu Somaliland na Somali ambazo ziljiunga Baada ya uhuru na Sasa zimetengana tena baada ya Majunta wa Somalia kusini kuanzisha Ethnic cleansing thidi ya Watu wa Somaliland
Wasomali wa somalia ni watu wakorofi sana halafu wana Alergy na Amani.
Leaked documents sent to CIA from Djibouti embassy were deliberately leaked to Wikileaks.. Zinaonysha vizuri kwamba USA ilikataa mpango wa Kenya wa ku form Jubaland administration kama buffer zone ya Kenya. Infact, inaonyesha vile marekani ilipinga mpango wa Kenya kutuma wanajeshi somalia ilihali tunapakana tena tuko na refugees wa kisomali... USA ilikua inataka nchi ambazo hazipakani na Somalia ndo zitume majeshi huko.Mnalea nyoka mwingine tu kama Farmajo. You never learn, vita ya Usa na magaidi hufai kuingilia utaumia wewe
| Canonical ID: | 09DJIBOUTI1389_a |
| Original Classification: CONFIDENTIAL | Current Classification: CONFIDENTIAL |
| From: Djibouti Djibouti | Markings: -- Not Assigned -- |
| To: Central Intelligence Agency | Combined Joint Task Force Horn of Africa | Defense Intelligence Agency| Secretary of State | Somalia Somalia Collective |
Guinea imekuwa nchi ya kwanza kuitambua Somaliland huu ni msaada mkubwa wa KenyaTayari Kenya ishatangaza rasmi kwamba inaunga mkono, eneo la Somalliland kua taifa la kivyake kando na taifa la Somalia