Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea


Tatizo wako kama huyu:



Kusikia masikio yakiwa makavu haitopata kutokea.
 
Yesu mwenyewe aliishi chini ya utawala wa kikoloni wa Warumi na bado aliwafundisha watu kulipa tozo kwa kaizari. Narudia tena Fanyeni siasa ila kumhusisha nayo Yesu ni upumbavu kama upumbavu mwingineo
 
SISI ASKOFU MAANA YAKE NINI ACHA NJAA ZAKO UMEIBA SADAKA UMEONA HAZITOSHI UMEKIMBILIA KWENYE SIASA
 
Yesu mwenyewe aliishi chini ya utawala wa kikoloni wa Warumi na bado aliwafundisha watu kulipa tozo kwa kaizari. Narudia tena Fanyeni siasa ila kumhusisha nayo Yesu ni upumbavu kama upumbavu mwingineo

Kwamba Yesu aliishi chini ya utawala wa kikoloni ndiyo unaamaanisha ni halali sasa sisi kuishi chini ya ukoloni wenu?

Hiiiiii bagosha!

Kwanini basi nyinyi msiwe kama huyo Yesu kuishi chini ya ukoloni wa wengine?
 
SISI ASKOFU MAANA YAKE NINI ACHA NJAA ZAKO UMEIBA SADAKA UMEONA HAZITOSHI UMEKIMBILIA KWENYE SIASA

Wewe ni Kingai au Hangaya au Madelu wanufaika wa wizi wa tozo na kodi hali ninyi haziwahusu?
 
Sitarajii Mama ataidanganya dunia hapa Tanzania tunaheshimu utawala washeria na demokrasia.
Natamani aombe radhi na atoe ahadi kuwaheshimu Watanzania na kuachana na mifumo kandamizi,
 
Kwamba Yesu aliishi chini ya utawala wa kikoloni ndiyo unaamaanisha ni halali sasa sisi juishi chini ya ukoloni wenu?

Hiiiiii bagosha!

Kwanini basi nyinyi msiwe kama huyo Yesu kuishi chini ya ukoloni wa wengine?
Pambaneni kisiasa ila propaganda sijui tuna Yesu hata ccm nao wanasema wana Yesu ila Yesu mwenyewe hayupo kisiasa na hana haja nazo
 
Wewe ni Kingai au Hangaya au Madelu wanufaika wa wizi wa tozo na kodi hali ninyi haziwahusu?
YAANI HUYO MJAMAA ANAYEJIITA ASKOFU NI MWIZI WA SADAKA TU MAASKOFU WENZIE WANACHUNGA KONDOO YEYE KANG'ANG'ANA NA CHADEMA WALIKULA HELA WAKATIWA UCHAGUZI WALAZIMISHE WAUMINI WAOWAPIGIE CHADEMA ILIPOSINDIKANA SASA HIVI MABEBERU WANATAKA HELA ZAO NDIYO ANAHAHA MWENZIE LISSU KAAMUA KWENDA KUOLEWA NAYEYE AKAOLEWE HUKO MAMBO YAISHE ATUACHIE NCHI YETU
 
Sitarajii Mama ataidanganya dunia hapa Tanzania tunaheshimu utawala washeria na demokrasia.
Natamani aombe radhi na atoe ahadi kuwaheshimu Watanzania na kuachana na mifumo kandamizi,
mfumo gani kandamiz kama unauhuru mpaka wa kumnanga hapa unavyoweza
 
Sitarajii Mama ataidanganya dunia hapa Tanzania tunaheshimu utawala washeria na demokrasia.
Natamani aombe radhi na atoe ahadi kuwaheshimu Watanzania na kuachana na mifumo kandamizi,

Bahati mbaya atakuwa anajuta kuwasha dreamliner kwa gharama zetu kwenda kuambiwa isiyopenda kuambiwa na wapenda haki, usawa na uhuru akiwamo Mh. Mbowe.

Alipo ni aibu!
 

Ila Gwajiboy au vipi?
 
Pambaneni kisiasa ila propaganda sijui tuna Yesu hata ccm nao wanasema wana Yesu ila Yesu mwenyewe hayupo kisiasa na hana haja nazo

Hueleweki jombi. Wewe unayetutuma kupambana kwa namna yako, ni mkenya?

Hiiiiii bagosha!
 
mfumo gani kandamiz kama unauhuru mpaka wa kumnanga hapa unavyoweza

Lion Chawene anakubaliana na ulichoandika?

Jenerali Msigwa wa habari maelezo naye je?

Vipi Sirro, Kingai, Muliro na wenzao PGO sasa zina maana yoyote kwao?
 
Chief Hangaya kesha kupa mrejesho?

Hukusikia alivyohitaji kuonana naye hata kwa selfie Ikiwezekana?
Ya mbele ya kamera na microphone achana nayo, usiyaamini mpaka ukasahau hao ni wanasiasa.

Mtaandelea tu kupakwa uji kwenye mdomo lakini wanaokunywa wengineeeeee.
 
FREEDOM IS COMING TOMORROW

 
Usimfananishe Yesu na mambo ya kipumbavu. Kwanza Yesu hakujihusisha na siasa alisema wazi utawala wake si wa dunia hii bali wabinguni.
Lakini alishitakiwa na hatimae kusulubishwa kwa sababu za kisiasa. Katika mahubiri yake aligusa na kutikisa maslahi ya Mafarisayo na hasa Makuhani wao. Kayafa ndiye kuhani mkuu Myahudi aliyesikiliza kesi ya Yesu na kutoa hukumu. (Yoh. 11:48-50)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…