Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea

Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea

Ni mamemo ya matumaini makubwa mno kutoka kwa Rais Biden, ni muda sasa wa marais wa kiafrica kukaa chini na kutafakari...kuachana na kutamka maneno matamu yenye matumaini ya kukuza demokrasia na utawala bora huku matendo yao yakiwa ni kinyume kabisa.

"The future belongs to those who make their people to breathe free and not whose who seek to suffocate their people on their own hands. " Thank you Mr. Biden.

Tatizo wako kama huyu:

IMG_20210829_163746_049.jpg


Kusikia masikio yakiwa makavu haitopata kutokea.
 
Mambo ya kipumbavu ni utawala wa dunia hii?

Kwa hakika ya akina Kingai na wote wenye kushadadia kunyimana kupumua kana kwamba ni wakazi wa kudumu wa dunia hii ni kipumbavu sana.

Mambo ya kipumbavu hivi ni wajibu kuyapiga vita kwa nguvu zote.

Cc: jiwe, Hangaya
Yesu mwenyewe aliishi chini ya utawala wa kikoloni wa Warumi na bado aliwafundisha watu kulipa tozo kwa kaizari. Narudia tena Fanyeni siasa ila kumhusisha nayo Yesu ni upumbavu kama upumbavu mwingineo
 
Hii ni habari njema kutokea UN. Uthibitisho zaidi kuwa ni nini iliyo kiu ya watu kote duniani.




Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.

Kiongozi dikteta si wa zama hizi.




Hautakuwa peke yako baba askofu.

Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.

Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.

Aluta Continua!

SISI ASKOFU MAANA YAKE NINI ACHA NJAA ZAKO UMEIBA SADAKA UMEONA HAZITOSHI UMEKIMBILIA KWENYE SIASA
 
Yesu mwenyewe aliishi chini ya utawala wa kikoloni wa Warumi na bado aliwafundisha watu kulipa tozo kwa kaizari. Narudia tena Fanyeni siasa ila kumhusisha nayo Yesu ni upumbavu kama upumbavu mwingineo

Kwamba Yesu aliishi chini ya utawala wa kikoloni ndiyo unaamaanisha ni halali sasa sisi kuishi chini ya ukoloni wenu?

Hiiiiii bagosha!

Kwanini basi nyinyi msiwe kama huyo Yesu kuishi chini ya ukoloni wa wengine?
 
Sitarajii Mama ataidanganya dunia hapa Tanzania tunaheshimu utawala washeria na demokrasia.
Natamani aombe radhi na atoe ahadi kuwaheshimu Watanzania na kuachana na mifumo kandamizi,
 
Kwamba Yesu aliishi chini ya utawala wa kikoloni ndiyo unaamaanisha ni halali sasa sisi juishi chini ya ukoloni wenu?

Hiiiiii bagosha!

Kwanini basi nyinyi msiwe kama huyo Yesu kuishi chini ya ukoloni wa wengine?
Pambaneni kisiasa ila propaganda sijui tuna Yesu hata ccm nao wanasema wana Yesu ila Yesu mwenyewe hayupo kisiasa na hana haja nazo
 
Wewe ni Kingai au Hangaya au Madelu wanufaika wa wizi wa tozo na kodi hali ninyi haziwahusu?
YAANI HUYO MJAMAA ANAYEJIITA ASKOFU NI MWIZI WA SADAKA TU MAASKOFU WENZIE WANACHUNGA KONDOO YEYE KANG'ANG'ANA NA CHADEMA WALIKULA HELA WAKATIWA UCHAGUZI WALAZIMISHE WAUMINI WAOWAPIGIE CHADEMA ILIPOSINDIKANA SASA HIVI MABEBERU WANATAKA HELA ZAO NDIYO ANAHAHA MWENZIE LISSU KAAMUA KWENDA KUOLEWA NAYEYE AKAOLEWE HUKO MAMBO YAISHE ATUACHIE NCHI YETU
 
Sitarajii Mama ataidanganya dunia hapa Tanzania tunaheshimu utawala washeria na demokrasia.
Natamani aombe radhi na atoe ahadi kuwaheshimu Watanzania na kuachana na mifumo kandamizi,
mfumo gani kandamiz kama unauhuru mpaka wa kumnanga hapa unavyoweza
 
Sitarajii Mama ataidanganya dunia hapa Tanzania tunaheshimu utawala washeria na demokrasia.
Natamani aombe radhi na atoe ahadi kuwaheshimu Watanzania na kuachana na mifumo kandamizi,

Bahati mbaya atakuwa anajuta kuwasha dreamliner kwa gharama zetu kwenda kuambiwa isiyopenda kuambiwa na wapenda haki, usawa na uhuru akiwamo Mh. Mbowe.

Alipo ni aibu!
 
YAANI HUYO MJAMAA ANAYEJIITA ASKOFU NI MWIZI WA SADAKA TU MAASKOFU WENZIE WANACHUNGA KONDOO YEYE KANG'ANG'ANA NA CHADEMA WALIKULA HELA WAKATIWA UCHAGUZI WALAZIMISHE WAUMINI WAOWAPIGIE CHADEMA ILIPOSINDIKANA SASA HIVI MABEBERU WANATAKA HELA ZAO NDIYO ANAHAHA MWENZIE LISSU KAAMUA KWENDA KUOLEWA NAYEYE AKAOLEWE HUKO MAMBO YAISHE ATUACHIE NCHI YETU

Ila Gwajiboy au vipi?
 
Pambaneni kisiasa ila propaganda sijui tuna Yesu hata ccm nao wanasema wana Yesu ila Yesu mwenyewe hayupo kisiasa na hana haja nazo

Hueleweki jombi. Wewe unayetutuma kupambana kwa namna yako, ni mkenya?

Hiiiiii bagosha!
 
mfumo gani kandamiz kama unauhuru mpaka wa kumnanga hapa unavyoweza

Lion Chawene anakubaliana na ulichoandika?

Jenerali Msigwa wa habari maelezo naye je?

Vipi Sirro, Kingai, Muliro na wenzao PGO sasa zina maana yoyote kwao?
 
Chief Hangaya kesha kupa mrejesho?

Hukusikia alivyohitaji kuonana naye hata kwa selfie Ikiwezekana?
Ya mbele ya kamera na microphone achana nayo, usiyaamini mpaka ukasahau hao ni wanasiasa.

Mtaandelea tu kupakwa uji kwenye mdomo lakini wanaokunywa wengineeeeee.
 
Hii ni habari njema kutokea UN. Uthibitisho zaidi kuwa ni nini iliyo kiu ya watu kote duniani.




Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.

Kiongozi dikteta si wa zama hizi.




Hautakuwa peke yako baba askofu.

Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.

Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.

Aluta Continua!

FREEDOM IS COMING TOMORROW

 
Usimfananishe Yesu na mambo ya kipumbavu. Kwanza Yesu hakujihusisha na siasa alisema wazi utawala wake si wa dunia hii bali wabinguni.
Lakini alishitakiwa na hatimae kusulubishwa kwa sababu za kisiasa. Katika mahubiri yake aligusa na kutikisa maslahi ya Mafarisayo na hasa Makuhani wao. Kayafa ndiye kuhani mkuu Myahudi aliyesikiliza kesi ya Yesu na kutoa hukumu. (Yoh. 11:48-50)
 
Back
Top Bottom