Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea

Baada ya Angalizo UN, Katiba Mpya - Mapambano yanaendelea

Ni vizur uka ainisha kilichowatoa kweny bunge la katiba

Tulikuwa na wizi wa kura wa kulazimishana mchana kweupe.

Kulikuwa na marehemu wapiga kura wetu halali wa lile chama letu jizi.

Kulikuwa na wagonjwa nje ya nchi waliokuwa wapiga kura wetu halali wa lile chama letu jizi.

Alimradi chama letu jizi lilikuwa limedhamiria kupora kweri kweri!
 
Ya mbele ya kamera na microphone achana nayo, usiyaamini mpaka ukasahau hao ni wanasiasa.

Mtaandelea tu kupakwa uji kwenye mdomo lakini wanaokunywa wengineeeeee.

Umeona wapi kuwa tunawategemea wao?

Tunapambana na tutapambana kivyetu wakati support yoyote hata kama ni moral tu, tokea kwa yeyote inatosha sana!

Mbona tunawamudu sana tu?

Wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yenu pomoni yatawatoa kamasi si muda mrefu umebaki.

We promise.
 
Hii ni habari njema kutokea UN. Uthibitisho zaidi kuwa ni nini iliyo kiu ya watu kote duniani.




Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.

Kiongozi dikteta si wa zama hizi.




Hautakuwa peke yako baba askofu.

Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.

Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.

Aluta Continua!

Mpuuzi mwenzako mnaendana
 
We kenge hutaki katiba mpya?. Ndio mnataka kukandamizwa?. Hata kama uko kwenye madaraka kwa sasa. Unajuaje ya mbele,watoto wako,wajuukuu zako?. Ndio watapiga mawe hata kaburi lako

Huo unaitwa ubinafsi uliopitiliza. Hauna dawa.
 
We kenge hutaki katiba mpya?. Ndio mnataka kukandamizwa?. Hata kama uko kwenye madaraka kwa sasa. Unajuaje ya mbele,watoto wako,wajuukuu zako?. Ndio watapiga mawe hata kaburi lako
Second chances are rare, use your first wisely.
 
Usimfananishe Yesu na mambo ya kipumbavu. Kwanza Yesu hakujihusisha na siasa alisema wazi utawala wake si wa dunia hii bali wabinguni.
Mbingu inapatikwna kupitia duniani.Yesu alikuwa mkali Sana kwa watawala wakandamizaji .dini ni mkusanyiko wa maisha yetu yote.ila siasa ni sehemu tu.
 
Mbingu inapatikwna kupitia duniani.Yesu alikuwa mkali Sana kwa watawala wakandamizaji .dini ni mkusanyiko wa maisha yetu yote.ila siasa ni sehemu tu.

Habari mbaya sana hiyo kwa waumini uchwara wenye kujifanya wanalijua sana neno.

Hiiiiii bagosha!
 
Mwamba atatuvusha na Katiba mpya....
1632401099808.jpeg
 
Mbingu inapatikwna kupitia duniani.Yesu alikuwa mkali Sana kwa watawala wakandamizaji .dini ni mkusanyiko wa maisha yetu yote.ila siasa ni sehemu tu.
Nipe mafungu ambapo Yesu alikuwa ana dili na watawala (wakandamizaji wa kisiasa) nikajielimishe. Zaidi nachojua wanafiki walitaka kumnasa kwa hila na kumuuliza kama ni halali kulipa kodi kwa kaisari. Aliwajua na aliwaruka. Hili suala la masihi wa kisiasa liliwachanganya sana wayahudi walitegemea Yesu atakuwa masiya wa kisiasa pia kuwakomboa kwenye tawala dhalimu ya kirumi. Lakini haikuwa hivo.
 
Umemsikia rais wa dunia?

"The future belongs to those who leave their people to breathe freely. Not those who suffocate them with an iron hand."

Chief Hangaya kesha kupa mrejesho?
Huyo "IRON HAND" hawezi kukuelewa, yote anaona sawa tu. Bawacha wakifanya jogging, Polisi hawa hapa! CCM wakifanya jogging, Polisi wanafanya escort! Iron hand ataijulia wapi?
 
Hii ni habari njema kutokea UN. Uthibitisho zaidi kuwa ni nini iliyo kiu ya watu kote duniani.




Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.

Kiongozi dikteta si wa zama hizi.




Hautakuwa peke yako baba askofu.

Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.

Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.

Aluta Continua!

Naona harakati zimeanza kulipa Mwamakula kanona!
 
Huyo "IRON HAND" hawezi kukuelewa, yote anaona sawa tu. Bawacha wakifanya jogging, Polisi hawa hapa! CCM wakifanya jogging, Polisi wanafanya escort! Iron hand ataijulia wapi?

Hao madhali tushajua kusikia kwao hadi damu masikioni haitupi taabu tena.
 
Naona harakati zimeanza kulipa Mwamakula kanona!

Mtasema yote hata ya kipumbafu, ila wanufaika wakubwa wa katiba mpya hata watoto wa wajukuu zenu watakuwamo.

Shame on you!
 
Usimfananishe Yesu na mambo ya kipumbavu. Kwanza Yesu hakujihusisha na siasa alisema wazi utawala wake si wa dunia hii bali wabinguni.
Kwa hiyo mambo ya siasa ni ya kipumbavu? Labda kwako wewe. Yesu alikuwa katikati ya siasa, siyo kando. Alihukumiwa kifo na mwanasiasa, Gavana wa kirumi. Aliwakubalia Wayahudi njama zao za kumuua Yesu ili apate sapoti yao. Walimtishia
 
Kwa hiyo mambo ya siasa ni ya kipumbavu? Labda kwako wewe. Yesu alikuwa katikati ya siasa, siyo kando. Alihukumiwa kifo na mwanasiasa, Gavana wa kirumi. Aliwakubalia Wayahudi njama zao za kumuua Yesu ili apate sapoti yao. Walimtishia
ndio siasa ni upumbavu tena mwingi. Yesu alifanya harakati gani za kisiasa jomba? Hakuwa active kisiasa na alitanabaisha hilo kwa kauli thabiti. Kwanza alipooneshwa na shetani miliki za ulimwengu ili amsujudu na pili alipotegwa suala la kulipa kodi. Suala la kuhukumiwa na pilato hakumfanyi kuwa mwanasiasa
 
Back
Top Bottom