CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
As vita a.k.a utopolo de kinshasa wametolewa na ka team kageni cha south africa kwenye kombe la shirikisho kaitwacho Garrants, mechi ya kwanza kapigwa 2-1 huko south africa ,pale kinshasa katoka 1-1
Kwa sasa Giant jingine la congo liko kikaangoni nyumbani kwao lubumbashi , tayari wako nyuma kwa goli moja dhidi ya Amazulu inayofundishwa na Ben mc carthy,mechi ya kwanza iliisha 0-0 huko south africa
Matumaini ya congo yamebaki kwa As maniema waliotoa draw 2-2 na mamelodi sundowns wakiwa congo labda watatoka ugenini na matumaini mengine ni kwa dc motema pembe
Kwa sasa Giant jingine la congo liko kikaangoni nyumbani kwao lubumbashi , tayari wako nyuma kwa goli moja dhidi ya Amazulu inayofundishwa na Ben mc carthy,mechi ya kwanza iliisha 0-0 huko south africa
Matumaini ya congo yamebaki kwa As maniema waliotoa draw 2-2 na mamelodi sundowns wakiwa congo labda watatoka ugenini na matumaini mengine ni kwa dc motema pembe