Baada ya Assad, je anayefuata ni Ayatollah Khomenei!

Baada ya Assad, je anayefuata ni Ayatollah Khomenei!

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Kuna kila dalili kuwa kituo kinachofuata baada Syria ni Iran.

Baada ya kusoma komenti kadhaa za waajemi masaa machache yaliyopita katika mtandao wa X, nimebaini ya kuwa utawala wa kifamle ulioangushwa katika mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979- mapema sana Januari mwakani (2025) utarudihswa kwa msaada wa Isrsel na mataifa ya magharibi, na Reza Pahlavi wa pili- mwanamfale, na mtoto wa aliyekuwa mfamle Reza Pahlavi (the last emperor) , atatawazwa kuwa mfalme wa Iran.

My take :
Kama alivyofanya Kiduku wa North Korea kusaini mkataba miaka mingi wa ulinzi na Urusi, basi ndivyo hivyo hivyo Mullahs wa Iran inabidi wafanye kwa haraka sana kabla mtoa roho ajafika Tehran.
IMG_20241208_194757.jpg
IMG_20241208_200239.jpg
IMG_20241208_200255.jpg
Screenshot_2024-12-08-20-20-47-49.png
 
Hizi tetesi kama zina kaukweli fulani. Compare and contrast utawala wa Shah na ule wa Ayatollahs; wananchi wanasemaje huko Iran? Utawala wowote unaofunga mizigo mizito na kuwabebesha wananchi huo utawala hauwezi kudumu! Wapeni raha wananchi sio utawala unageuka mateso kwa raia!
 
Naona mmeshasahau operation True Promise 3 kuwa ipo njiani. Zile 1 and 2 moto wake mnaujua lakini
Ni too late sana kwa sasa mkuu. Wameshazingirwa na adui and Events are unfolding very quickly now.
Achilia mbali kurudi kwa Trump White House.

Hivyo, karata waliyobakiza Tehran ni kusain mkataba wa ulinzi na urusi, at least ita buy more time.
 
Hizi tetesi kama zina kaukweli fulani. Compare and contrast utawala wa Shah na ule wa Ayatollahs; wananchi wanasemaje huko Iran? Utawala wowote unaofunga mizigo mizito na kuwabebesha wananchi huo utawala hauwezi kudumu! Wapeni raha wananchi sio utawala unageuka mateso kwa raia!
Wananchi wanaonyesha wana hamu ya kuona utawala wa Shahs ukirudi maana wengi wao wanashangilia kuangushwa kwa utawala wa Assad Syria
 
Ni too late sana kwa sasa mkuu. Wameshazingirwa na adui and Events are unfolding very quickly now.
Achilia mbali kurudi kwa Trump White House.

Hivyo, karata waliyobakiza Tehran ni kusain mkataba wa ulinzi na urusi, at least ita buy more time.
Iran ana silaha nzito sana ukizingatia kwa sasa anazo SU 35 kutoka Russia . Israel hawezi kujipeleka kizembe. Lazima awe makini unapojaribu kupigana na mtu mwenye uwezo. Nadhani operation promise 1 na 2 uliona kilichotokea Israeli .
 
Iran ana silaha nzito sana ukizingatia kwa sasa anazo SU 35 kutoka Russia . Israel hawezi kujipeleka kizembe. Lazima awe makini unapojaribu kupigana na mtu mwenye uwezo. Nadhani operation promise 1 na 2 uliona kilichotokea Israeli .
Iran ilipigwa air defense systems zake kwa F-35 bila kuangusha ndege hata moja.

Hizo Su-35 ni mpaka ziwepo nyingi kuleta matokeo. Training, uzoefu, ammo navyo vinahitajika. Na hata hivyo Su-35 sio kitu mbele ya F-35 au F-15EX ambazo hizi Israel inaagiza.
 
Iran imeshindws kuisaidia kipenxi chake Assad?! 😇😜
Hilo jambo la kawaida mbona Ufaransa ameshindwa kuwalinda vibaraka wake Africa Magharibi mwishowe watu wote wamepinduliwa na nchi zote kuwa chini ya ushawishi wa Urusi?
Au mbona Marekani na vibaraka wake wameshindwa kuisaidia Ukraine kurudisha ardhi yake iliyo tekwa na Urusi licha ya kuirundikia siraha mpaka maghara yao kubaki meupe.
 
Jitahidi kusoma na kuunganisha matukio, usi comment kwa mahaba au chuki. Hizi sio dalili nzuri kwa Iran. Kama unaweka kumbukumbu vizuri, tokea Israel afanye lile shambulio la ndege ambalo tulisema eti hakukua na madhara, since that day, Iran ni kama alipoteza confidence hadi leo, lakini pia hata jeuri ya Assad na Syria yake ni kama pia ilipungua sana, jaribu kurudisha kumbukumbu zako nyuma. Kuna jambo baya wale wasichana marubani wa ndege za kivita walilifanya pale Iran. Mleta uzi ni kama ana point; let's keep on waiting
Naona mmeshasahau operation True Promise 3 kuwa ipo njiani. Zile 1 and 2 moto wake mnaujua lakini
 
Hilo jambo la kawaida mbona Ufaransa ameshindwa kuwalinda vibaraka wake Africa Magharibi mwishowe watu wote wamepinduliwa na nchi zote kuwa chini ya ushawishi wa Urusi?
Au mbona Marekani na vibaraka wake wameshindwa kuisaidia Ukraine kurudisha ardhi yake iliyo tekwa na Urusi licha ya kuirundikia siraha mpaka maghara yao kubaki meupe.
Kwani kigezo Cha Irani ni Marekani na Ufaransa??🎤
 
Hizi tetesi kama zina kaukweli fulani. Compare and contrast utawala wa Shah na ule wa Ayatollahs; wananchi wanasemaje huko Iran? Utawala wowote unaofunga mizigo mizito na kuwabebesha wananchi huo utawala hauwezi kudumu! Wapeni raha wananchi sio utawala unageuka mateso kwa raia!
Shah alizingua mwenyewe alipogusa maslahi ya Uingereza kwenye yale Makampuni ya mafuta ambapo UK ali invest pesa ndefu kwenye utafit, halafu yeue akawapa wengine.
Uingereza akailalamikia kwa US, naye US aliyekuwa akim backup Shah alijaribu kumueleza issue ya UK akakaza. US akaona isiwe shida, kipindi kile Ayaatlah walikuwa kama Panya Road tu, wakampa backup mpaka akamuondoa Shah.
 
Back
Top Bottom