Baada ya Assad, je anayefuata ni Ayatollah Khomenei!

Iran imeshindws kuisaidia kipenxi chake Assad?! πŸ˜‡πŸ˜œ
Jeshi lilogoma kupigana utalisaodia vip au unataka wapigane kwa niaba ya jesh la Syria. So far hasadi hakuomba msaada kwa Iran so usitegemee maajabu hapo
 
Hapa,tanzani Israeli anapewa sifa za kijinga sana hata hazipo mtu amepigwa na dunia imeona wanashadadia aliyepigwa ndo kapigwa huu ulevi sijui ni wa wapi
 
Ulion wapi yametunguliwa? Mbona uharibifu uliofanywa ni mkubwa sana kiasi kashindwa kabisa kumlinda Assad. Hata pole kashindwa kumpa wakati diyo ilikuwa njia na Chaka lake pale kisadia Hezbollah na Hammas.
 
khamenei yupo Sana jipe moyo
 
Hivi mbona Israel hasemagi chochote kuhusu hili tukio au angalau kutoa picha au video zake? Au anamwacha aliyepigwa aseme mwenyewe?
Check sura za viongozi wao, both Iran and Israeli. Wiki moja baada ya lile shambulizi, Netanyahu alionekana beach anapunga upepo na kusalimiana na watu huku anathema cheka while viongozi wa Iran baada tu ya kutamka kwamba "madhara yalikua kidogo sana" vitendo vyao na confidence ilipungua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…