Baada ya Assad kupinduliwa, wananchi waingia Benki Kuu ya Syria na kuanza kuiba na kubeba maboksi ya hela

Baada ya Assad kupinduliwa, wananchi waingia Benki Kuu ya Syria na kuanza kuiba na kubeba maboksi ya hela

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mambo yameendelea kushika kasi huko Syria.

Waandamanaji na wananchi wameingia kwenye Benki ya Syria (Central Bank Of Syria) na kuanza kubeba maburungutu na maboksi ya fedha.

Kwenye video zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, waandamanaji wameonekana wakiwa kwenye wanatoka benki na fedha nyingi huku wengine wakiwa kwenye magari na maboksi ya fedha.


CW1.png


CW2.png


===================================

Ni rasmi Syria sasa ime-collapse. Hata huo uchumi mdogo waliokuwa nao sasa hivi ndo uta-collapse kabisa.

Kwa wale mnaopenda kulaumu Marekani kwenye kila kitu take note. Marekani haikushiriki kwenye ujinga huu.

Ni Wasyria wenyewe.


 
Hawa waandamanaji mkuu mbona Wamebeba vyuma vya moto alooo .....nimeogopa...😁 Nilijua kama wale naowajua
 
Nchi hii inaenda kusambaratika kabisa.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kushika kasi huko Syria.

Waandamanaji na wananchi wameingia kwenye Benki ya Syria (Central Bank Of Syria) na kuanza kubeba maburungutu na maboksi ya fedha.

Kwenye video zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, waandamanaji wameonekana wakiwa kwenye wanatoka benki na fedha nyingi huku wengine wakiwa kwenye magari na maboksi ya fedha.


View attachment 3172156

View attachment 3172158

===================================

Ni rasmi Syria sasa ime-collapse. Hata huo uchumi mdogo waliokuwa nao sasa hivi ndo uta-collapse kabisa.

Kwa wale mnaopenda kulaumu Marekani kwenye kila kitu take note. Marekani haikushiriki kwenye ujinga huu.

Ni Wasyria wenyewe.


View attachment 3172160
Kobazi wanasema mzayuni na america wanahusika kwa 100% wakishindwa kujua in kojazi kuna mtifuano
 
Hawa waandamanaji mkuu mbona Wamebeba vyuma vya moto alooo .....nimeogopa...😁 Nilijua kama wale naowajua
Sio waandamanaji hao ni mujahedeen wanaiba hela. Katika hali ya kawaida haiwezekani hao jamaa wachukue nchi halafu wewe uingie benki uchote hela.....
 
Marekani anakosa vipi kwenye sehemu yoyote ya vita?Marekani ndiyo chanzo cha vita zote duniani.
 
Back
Top Bottom