My usiombe hata siku moja kukutana na kiumbe mwanadamu alieamua kufikiria kwa kutumia tumbo lake.Matatizo ya kuishi mjini kiujanja ujanja, kule alisema mako hana maana wala hataongea nae tena, kwenye press conference anasema mheshimiwa mkuu wa mkoa natimiza majukumu yake.
Hapo kwa katika "nimekaa Mimi na.."Alinishangaza sana alivyokuwa anamuita Mbowe kama mwanae katika ile audio.. Eti nimekaa mimi na "Freeman"
Acha ki front kwani nimekuambia wewe?Nikuwekee ili iweje? Pita hivi
Vipaza sauti tu vinaonyesha ni waandishi wa namna gani (udaku)Huwa nawashangaa zaidi waandishi wa habari wanaoitwa na kinyago kama huyu kwenye press conference sidhani kama ni waandishi kweli labda washika camera tu.
Ndo keshachemsha sasa.Steve ni kuwadi mzuri sana.Anakuletea mwanamke yoyote mzuri mji huu,hata awe nani Steve analeta goma anakuachia mezani.Sijui anafanyaje fanyaje wallahi
Mjanja yule ndio maana ameitisha Press Conference. La sivyo sasa ivi angekuwa kaifaziwa pale central police kwa ajili ya mahojiano[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi nakwambia wengi hapa tuna msema Nyerere ila ingekuwa kila mtu anarekodiwa mambo yake private wengi tungekimbiana
Ila alivo itisha press ndio alijichanganya kabsaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mjanja yule ndio maana ameitisha Press Conference. La sivyo sasa ivi angekuwa kaifaziwa pale central police kwa ajili ya mahojiano
Mkuu huko kwenu shikamoni wote.....hata maji siombiHuyu Emoro a.k.a. Mbilikimo ni shidaa kwa kweli, yaani ni mnafiki sijapata ona. Mwanamme wa namna hii kule kwetu ananunuliwa sidiria na chupi dizaini ya bikini tena anavalishwa hadharani kwa kulazimishwa. Amenikifu sana huyu mtoto, yaani hana tofauti na mashoga wa hapa mjini.
Hahaha! Watu WA aina hii ya Steve ni mabingwa WA kujipendekeza na kujikomba kwa Wakubwa ndio maana unawaona Wana connection na viongozini kichekesho kwamba watu wasio kuwa na akili kama hawa ndio wanaoongoza nchi sasaivi, wanaweza kuwaaproach hata viongozi wetu wakubwa kabisa. atu sifuri kama huyu naye ni mtu muhimu kwenye nchi hii?
Halafu huyo andunje AKOME TENA AKOME KABISA kutumia jina LA NYERERE.. Atumie jina lake la Steve MENGELE. ...... I'M SERIOUS ON THIS.Dah! kwa jinsi mnavyomsema Steve Nyerere hapa JF. Nitaenda kumbia pamoja na umbea wenu wote pumbaf zenu!
Mkuu na wewe unamambo kama ya Steve mengere nini? Acha Mara moja mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi nakwambia wengi hapa tuna msema Nyerere ila ingekuwa kila mtu anarekodiwa mambo yake private wengi tungekimbiana
Ila alivo itisha press ndio alijichanganya kabsaaa.
I beleive siyo siku zote nimekuwa niko careful kwenye kuongea na naamini binadamu wote tuko hivoMkuu na wewe unamambo kama ya Steve mengere nini? Acha Mara moja mkuu