Baada ya Audio kuvuja, Tunda Amlipua Steve Nyerere

Hahahahaha sawa ilo najua lakini mile kiemoro kimeongea kama mtu wa jinsia ya tatu mkuu usikitetee
 
Hahahahaha sawa ilo najua lakini mile kiemoro kimeongea kama mtu wa jinsia ya tatu mkuu usikitetee
Haaahah
Yeah he f*cked down
He even ddnt f*ck up.

Yaan kawa haamini kote kote
 
analia na mengi ,hapo anawaza ugali umemwagwa,bado stand up comedy yake haiwezi kufana kama awali au kama siyo kufa kabisa
 
Na umaarufu wangu wote nimelala hotel ya elfu 30 siku nne. Nilimpa namba yako nanii alikupigia?
 
Nimekuwa najiuliza siku zote usanii wa huyu bwana unatoka wapi! Sijawahi kumkubali..,sioni hicho kinachoitwa ' kipaji' chake kipo wapi. Hata kwenye kuiga sauti kuna watu wanafanya vizuri sana kuliko yeye!
 
ni kichekesho kwamba watu wasio kuwa na akili kama hawa ndio wanaoongoza nchi sasaivi, wanaweza kuwaaproach hata viongozi wetu wakubwa kabisa. atu sifuri kama huyu naye ni mtu muhimu kwenye nchi hii?
Hahahhahah eti wema naye anachukua coverage ya magazeti yetu.kweli hatuna magazeti na waandishi mkuu
 
Yes halafu huwa hatujibu watu wakat tuna jazba au tuko kwenye uncertainity angemuuliza manji tu angepata jibu, shida kama hizo sio za ku react haraka.
Kwenye press ndio aliharibu zaidi
aliongea nini?
KAMA HAKA KAMTU KANAITA KINA MBOWE "Freeman"
enh hii nchi ilipo SIO YA MCHEZO MCHEZO!
mie tu humu jf naitwa TICHA!
sasa najiuliza huyu kurumbizi anamwitaje mtu kwa aina hii?
YANAYOTOKEA BEHIND BENDERA ZA VYAMA NA MAJENGO YA SERIKALI NI MUNGU TU AINUE MKONO WAKE!


nimejiskia HOVYO SANA!
 
ETI SA HIZ WEMA NAE ANATAKE COVERAGE KWENYE MAGAZETI YA OFISINI TEENA FRONT PAGES!
ahahhahahahhahahhahahhaha hakiiii aidha mniambie TUMELOGWA AU NI MAAMUZI KULINGANA NA MADADILIKO YA TABIA NCHI!



SIELEWI KWA HAKIKA!
 
Hahaha
I luv tchaz

Ujue Nyerere alijiachia sana kwenye mazungumzo so si hakujua kama ana rekodiwa

But the whole covarage of this saga as a very important issue inaonesha jinsi kama taifa vile hatuko siriaz
 
Hahaha
I luv tchaz

Ujue Nyerere alijiachia sana kwenye mazungumzo so si hakujua kama ana rekodiwa

But the whole covarage of this saga as a very portant issue inaonesha jinsi kama taofa vile hatuko siriaz
af msimwite hili jina LINAMFANYA AJIKUTE NAE NI MAKONGORO UJUE?
 
Kajamaa kanafiki sana ila pia najaribu kujiuliza kwanini alimrekodi na akaivujisha...
Nini kimemfanya amuharibie hivi au yeye ndiye aliye msnitch mwanae kwa Makonda?
Bado sijaona sababu kubwa hasa ya kumfanyia hivyo..
Siku mbowe akimzingua wema mama atampandia hewani aanze kumchana maana huyu mama si wa sport
 
Walienda clouds na global publisher tu

Wenye akili zao hawakujisumbua

Huwa nawashangaa zaidi waandishi wa habari wanaoitwa na kinyago kama huyu kwenye press conference sidhani kama ni waandishi kweli labda washika camera tu.
 
Analilia nini na amelikoroga mwenyewe machozi yake ya mamba apeleke hukooo mtu mzima unakuwaje Fisadi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…