The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kwa uelewa wangu ni kwamba chama kinachotawala kimeomba na kupewa ridhaa ya kuisimamia Serikali ili itoe huduma stahiki kwa niaba ya wananchi walioichagua.
Kwa maelezo ya waziri inaonekana matenki yapo na maji yapo ila watendaji wa serikali kwa makusudi hawakupeleka maji kwenye hayo matenki alafu sisi wakazi wa goba kinyerezi MBEZI kibamba nk tukaanza kukosa huduma ya maji ambayo kodi zetu zimejenga miundombinu.
Swali langu najiuliza hao watendaji wa CCM wenye wajibu wa kuisimamia Serikali maeneo husika walikuwa wapi!? Je haiwezi kuwa pia wao ni wanufaika wa shida ya maji ambayo tumeipitia sote!?
Ni kwa nini nao wasichukuliwe hatua kwa kulea huu upumbavu!?
Bila kuwaadhibu watendaji wa CCM haya mauzauza hayataisha.
Kwa maelezo ya waziri inaonekana matenki yapo na maji yapo ila watendaji wa serikali kwa makusudi hawakupeleka maji kwenye hayo matenki alafu sisi wakazi wa goba kinyerezi MBEZI kibamba nk tukaanza kukosa huduma ya maji ambayo kodi zetu zimejenga miundombinu.
Swali langu najiuliza hao watendaji wa CCM wenye wajibu wa kuisimamia Serikali maeneo husika walikuwa wapi!? Je haiwezi kuwa pia wao ni wanufaika wa shida ya maji ambayo tumeipitia sote!?
Ni kwa nini nao wasichukuliwe hatua kwa kulea huu upumbavu!?
Bila kuwaadhibu watendaji wa CCM haya mauzauza hayataisha.