Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Aliyevunja mkataba ni huyo muhindi alafu analalamika anaonewa
Unatoaje order alafu unakuja ku-cancel kihuni huni
Kumbuka hakuna draft yoyote iliyofanyika ndiyo akatia shaka aka tress China ikaja nil, acheni kutetea wezi, "WIZI WA KUAMINIWA HUU"......
Unapoagiza kitu huwa na hali ya kuproof movement, so every tress come to nil.
 
Bilionea anakimbia kwa madai ya milioni 100 badala ya kuweka wakili yeye aendelee na kazi.
Utapeli haufai, ukiumbuka ya suluhishe kwa amani na unyenyekevu
 
Hujui abc za biashara sio kosa lako
Biashara unatakiwa uwe na roho ngumu (ruthless) sio lelema ndo maana wako wachache

Ndo matajiri wote wanaroho ngumu buashara sio rahis kama unavyodhani mteja unamrudishia fedha kirahis rahisi

Kama ni mimi, aise atashikika tu. Haki ya mtu haipotei hapa.

Arudishe pesa ya watu, hivi ni mchagga sio?
 
Kwa hiyo anajisifia anaelewa wakati kauziwa mbuzi kwenye gunia
Kuna watu wanatapeliwa kifala kweli
Unampaje 100m kwa maneno tu
Leta magari nikupe hela yako simple
Mara magari used mara mapya yaani kawavuruga haswa
Bei ya China na Bongo bei moja na machale hayakuchezi kabisa unaingia king 🤴
Hao wahindi sijui waarabu walitaka serereko pia maana tunajua wanamakampuni mengi ya yanayofanya kazi hizo hapa nnchini kwanini waende kwa dalali alafu kwanini pia walikuwa wanatuma hela kama wanahongo vile..
Huu ubilionea wa Tanzania nao ni kizaizai!!Yaani unajiita Bilionea unakimbia mpaka mji kwa 100Million?

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Tena kukibia kwenyewe na pikipiki ya kukodi a.k.a bodaboda...
 
Mtanzania mgumu kuheshimu pesa ya mwenzake. Anailia bia makusudi alafu anakwambia naweza lipa elfu 40 kwa mwezi. Hapo ukiangalia deni litaisha baada ya miaka mitano, wakati yeye alilia bia na malaya wiki tu.
Kikubwa ni kumaliza nae kibingwa maana deni la million 100 kwa kulilipa hivyo ni zaidi ya mortgage. Miaka 100 ijayo ndio litaisha. Sasa kuliko huo upumbavu kesi ikiisha mahakamani tunaenda kuimalizia mtaani.
 
Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Walikuwa wanataka used. Kampuni nyingi hazifanyi used na wanaofanya hawana uzoefu kama wa huyo Shami. Ndo maana wakaenda direct hadi showroom. Kama ushafanya hizi issue za logistics wala hata hamna kitu kigumu kuelewa hapo.
 
Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.

Wasikilize mwenyewe hapa
7​
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Hivi polisi bado hawaja pata hizo 100m, kuna hamisho lolote la fedha katoka bongo kwenda china kulipia hizo lorry .au kulikuwa na hamisho kwenda humu humu bongo na kutoa fedha taslimi za matumizi binafsi
 
Back
Top Bottom