King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
wewe ndiye Shami?
Hapana ndiyo kwanza nimemjulia humu JF baada ya kewekwa uzi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ndiye Shami?
Kumbuka hakuna draft yoyote iliyofanyika ndiyo akatia shaka aka tress China ikaja nil, acheni kutetea wezi, "WIZI WA KUAMINIWA HUU"......Aliyevunja mkataba ni huyo muhindi alafu analalamika anaonewa
Unatoaje order alafu unakuja ku-cancel kihuni huni
Uliona wapi mwizi anasubiriSawa wameingizwa mjini kishamba, Sasa hao washamba wanataka Hela Yao kwanini mjanja akimbie mji?
Hujui abc za biashara sio kosa lako
Biashara unatakiwa uwe na roho ngumu (ruthless) sio lelema ndo maana wako wachache
Ndo matajiri wote wanaroho ngumu buashara sio rahis kama unavyodhani mteja unamrudishia fedha kirahis rahisi
Bilionaire alitakiwa afunge biashara mara moja kwa kulipa anachodaiwa bila keleleHahaha bongo kuna vituko kwamba billionaire kashindwa kulipa mill 120🤣..naunga mkono hoja aliwe kinyeo iwe fundisho kwa mabilionaire fake
Hii nchi ukitaka kuwa maarufu na kuheshimika - kuwa mwizi na tapeliSiku hizi Hadi pesa za deal watu wanaandikishiana mkataba Kwa Wakili dadeki.
Hao wahindi sijui waarabu walitaka serereko pia maana tunajua wanamakampuni mengi ya yanayofanya kazi hizo hapa nnchini kwanini waende kwa dalali alafu kwanini pia walikuwa wanatuma hela kama wanahongo vile..Kwa hiyo anajisifia anaelewa wakati kauziwa mbuzi kwenye gunia
Kuna watu wanatapeliwa kifala kweli
Unampaje 100m kwa maneno tu
Leta magari nikupe hela yako simple
Mara magari used mara mapya yaani kawavuruga haswa
Bei ya China na Bongo bei moja na machale hayakuchezi kabisa unaingia king 🤴
Tena kukibia kwenyewe na pikipiki ya kukodi a.k.a bodaboda...Huu ubilionea wa Tanzania nao ni kizaizai!!Yaani unajiita Bilionea unakimbia mpaka mji kwa 100Million?
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Mtanzania mgumu kuheshimu pesa ya mwenzake. Anailia bia makusudi alafu anakwambia naweza lipa elfu 40 kwa mwezi. Hapo ukiangalia deni litaisha baada ya miaka mitano, wakati yeye alilia bia na malaya wiki tu.Mimi sijakataa ila ntakuwa nalipa buku kila mwezi😂
Kikubwa ni kumaliza nae kibingwa maana deni la million 100 kwa kulilipa hivyo ni zaidi ya mortgage. Miaka 100 ijayo ndio litaisha. Sasa kuliko huo upumbavu kesi ikiisha mahakamani tunaenda kuimalizia mtaani.Mtanzania mgumu kuheshimu pesa ya mwenzake. Anailia bia makusudi alafu anakwambia naweza lipa elfu 40 kwa mwezi. Hapo ukiangalia deni litaisha baada ya miaka mitano, wakati yeye alilia bia na malaya wiki tu.
Walikuwa wanataka used. Kampuni nyingi hazifanyi used na wanaofanya hawana uzoefu kama wa huyo Shami. Ndo maana wakaenda direct hadi showroom. Kama ushafanya hizi issue za logistics wala hata hamna kitu kigumu kuelewa hapo.Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Hivi polisi bado hawaja pata hizo 100m, kuna hamisho lolote la fedha katoka bongo kwenda china kulipia hizo lorry .au kulikuwa na hamisho kwenda humu humu bongo na kutoa fedha taslimi za matumizi binafsiBaada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
7Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha