Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Watu wengine ndio maana wanafanywaga vibaya halafu familia zao zinaishia kulalamika , iwe madai isiwe arudishe hela za wenyewe, basi..

Hapana mkuu kwanza waliambiwa bei ya jamaa mpaka dar na wakalinganisha na China wakaona ziko sawa
Sasa wao wakaona badala ya wao kwenda si bora wanunue hapa kwa jamaa

Ila wamekuja kushtuka baada ya kuona mda wa mzigo kuingia umepita na anawazungusha ndio wakaanza kupiga simu China na kufuatilia kumbe jamaa wala hawamjui billionaire

Wamechelewa sana kushtukia mchezo
Ni kama uende kariakoo halafu uanze kushangaa Shangha nje ukiangalia bidhaa halafu jamaa anakuambia nikasaidie nini unamwambia hii sh ngapi anakupa bei na anakuambia nilipe hapa nikakutolee mzigo stoo utakubali?
Wakati malipo ni ndani kwenye counter?
Mimi naona wameingizwa mjini kishamba sana aisee
Sawa wameingizwa mjini kishamba, Sasa hao washamba wanataka Hela Yao kwanini mjanja akimbie mji?
 
Hivi unajua maana ya mkataba
Unataratibu za kuvunja ndo maana nikakuambia wewe biashara hufanyi

Mkataba unataribu zake za kuvunja nakupaje hela huku mkataba haujavunjwa
Mkataba wa Kuuza magari unafahamika hakuna ambaye hajanunua ama kuagiza magari nje na kusaini mkataba..
Baada ya kuvunja mkataba, Mkataba unamtaka kubaki na Pesa ya Mteja?
Na Mkataba ulivunjika pale tu Biashara ilipokuwa cancelled..
Haya tuseme sasa Mkataba unamtaka kulipa 18% ya TRA Au tuseme na Usumbufu kabisa 25%
Je Amelipa hiyo pesa?
Amerudisha kiasi kingine?
Kuna maswala sio ya kuyatetea
 
Mkataba wa Kuuza magari unafahamika hakuna ambaye hajanunua ama kuagiza magari nje na kusaini mkataba..
Baada ya kuvunja mkataba, Mkataba unamtaka kubaki na Pesa ya Mteja?
Na Mkataba ulivunjika pale tu Biashara ilipokuwa cancelled..
Haya tuseme sasa Mkataba unamtaka kulipa 18% ya TRA Au tuseme na Usumbufu kabisa 25%
Je Amelipa hiyo pesa?
Amerudisha kiasi kingine?
Kuna maswala sio ya kuyatetea
Wapi mkataba umevunjwa au unadhani unavunjwa kwa maneno tu
Duuu kweli kama taifa kazi tunayo
 
Hujui hata maana ya mkataba ni nini
Mkataba haukupi haki ya kudanganya na kudhulumu kwa kutoa tu bill of lading feki tayari umevunja trust ambacho ni kiini kikubwa kwenye mkataba inaonyesha u r not acting in good faith, halafu unakuja hapa na story za mkataba
 
Mkataba haukupi haki ya kudanganya na kudhulumu kwa kutoa tu bill of lading feki tayari umevunja trust ambacho ni kiini kikubwa kwenye mkataba inaonyesha u r not acting in good faith, halafu unakuja hapa na story za mkataba
Unauhakika gani amedanganya inaonekana unaongozwa sana hisia
Ndo maana nilikuambia wewe sio mfanyabiashara sababu unaongozwa na hisia na sio akili
 
Unauhakika gani amedanganya inaonekana unaongozwa sana hisia
Ndo maana nilikuambia wewe sio mfanyabiashara sababu unaongozwa na hisia na sio akili
sasa kama sio kweli aliosema muhindi si aonyeshe yeye ukweli upo vipi maana tangu amekuja kutaka huruma ya watu huku jf wakati yeye ndio kadhulumu , popote atakapoenda kwa hadithi yake na ya muhindi , muhindi story yake imenyooka, nyir mnaleta porojo tu huku mmekaa na hela ya watu , maana hata humu jf tumewaona mnataka kidhulumu, sasa mpambane kivyenu humu hamuwezi kusaidika lipeni pesa ya watu , muhindi ana haki ya kutumia nguvu maana mna chake
 
Sikuzote tunasema sikiliza story pande zote 2 hapa tumeshajua tapeli ni nani.. tapeli ni huyo anayejiita bilionea na kitendo cha kusingizia kuna mtu mkubwa kitamcost sana
Jamaa tapeli sana huyu bilionea njaa kali, arejeshe fedha za watu haraka sana.
 
Wapi mkataba umevunjwa au unadhani unavunjwa kwa maneno tu
Duuu kweli kama taifa kazi tunayo
Sasa kwani kusitisha kuagiza huduma sio kuvunja mkataba?

Wewe sheria za Mkataba ulisoma wapi?
Contract laws inahitaj watu waanze kufundishwa mashuleni aisee..

Kuna aina za kuvunja mkataba ukivunja hata kipengele Kimoja cha mkataba mkataba unakuwa null
 
Sasa kwani kusitisha kuagiza huduma sio kuvunja mkataba?

Wewe sheria za Mkataba ulisoma wapi?
Contract laws inahitaj watu waanze kufundishwa mashuleni aisee..

Kuna aina za kuvunja mkataba ukivunja hata kipengele Kimoja cha mkataba mkataba unakuwa null
Aliyevunja mkataba ni huyo muhindi alafu analalamika anaonewa
Unatoaje order alafu unakuja ku-cancel kihuni huni
 
Walivyocancell order alirudosha pesa zao?
Au kama anavyosema huko walitaka kumkata 18k USD aliwapa hizo walizokata za usumbufu?
Mboma haonyeshi Doccuments za Kukatwa au za makato au bill of ladding au hata cancelled Process on landing..

Aseme alikuwa anafanya kazi ya usafirishaji kwa Kutumia kampuni gani?
Na Mbona hataki kuonyesha doccument za huko anakoagiza..
Wewe endelea kuchoma Sindano watu


Biashara achia wafanya biashara
 
Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
wewe ndiye Shami?
 
Back
Top Bottom