Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Linakwamakwama liclip bwana


Hata kama, arudishe pesa za watu, otherwise mahakama sheria iingilie kati aswekwe ndani mpaka alipe pesa za watu

Kwani hao kanjibai walikabwa na kuporwa pesa? Si walitoa wenyewe kwa makubaliano ya kuletewa magari? Sasa mbona walighairi baada ya week? Wafanyabiashara wanatengeneza tu B/L feki ili kodi zisiwe kubwa ,ndiyo maana contena la elecetroniks device wanaandika Yeboyebo ,kwahiyo B/L feki siyo issue.
 
Hizo ni speculation za hao makanjibai ,yaani B/L ndiyo iliyowaaminisha kwamba wametapeliwa? Kuna kubuy time kwenye bizness.
Leo zaidi ya miezi sita hakuna hata document moja aliyotoa huo ni wizi sio ku buy time, arudishe tu pesa za watu asijitilishe huruma kwa kumsingizia muliro
 
Watu wengi wa jamiiforum hawajui abc za biashara

Sure bizness ina mambo mengi ,kumpata mteja lazima utumie akili ya ziada ,nina uhakika jamaa si kwamba alikuwa na nia ya kuwatapeli ila ni mbinu za kibiashara za kumpata mteja alizotumia hao makanjibai wakaona ni tapeli.....B/L watu wanazifanyia manuva kupunguza kodi ndiyo maana contena wameweka Vogue lakini B/L wanaandika sindano.
 
Leo zaidi ya miezi sita hakuna hata document moja aliyotoa huo ni wizi sio ku buy time, arudishe tu pesa za watu asijitilishe huruma kwa kumsingizia muliro

Haujamsikiliza vizuri bilionea ,sikiliza tena ,alisema baada tu ya week jamaa wakacancel biashara.....kwahiyo hiyo miezi sita ni kipindi cha mpito atarudishaje pesa zote 129.2m wakati na yeye wachina washamla panga la usd 18k?
 
Haujamsikiliza vizuri bilionea ,sikiliza tena ,alisema baada tu ya week jamaa wakacancel biashara.....kwahiyo hiyo miezi sita ni kipindi cha mpito atarudishaje pesa zote 129.2m wakati na yeye wachina washamla panga la usd 18k?

Lakini mkuu, utamuamini vipi huyo mchagga! Kama anajiamini why akimbie!
 
Lakini mkuu, utamuamini vipi huyo mchagga! Kama anajiamini why akimbie!

Ushawahi kudeal na askari wa TZ? Msikilize vizuri tena , Polisi walikuwa wanatrace simu zake ,Je polisi walikuwa na barua kwenda kwenye kampuni za simu kwa ajili ya kuomba kutrace simu za mtuhumiwa? Sheria za privacy za TCRA wanazijua? DPP na TCRA lazima waandike barua kwenda kwenye kampuni za simu kwa ajili ya kuchunguza namba , LIG(Aliweka JIWE kudukua watu) ni state owned ,polisi hawana access nao labda TCRA.

Bilionea alipata info za ndani kutoka kwa wao polisi wenyewe kwamba wanataka kumfungulia kesi ya ujambazi ndiyo maana alikimbia.
 
Haujamsikiliza vizuri bilionea ,sikiliza tena ,alisema baada tu ya week jamaa wakacancel biashara.....kwahiyo hiyo miezi sita ni kipindi cha mpito atarudishaje pesa zote 129.2m wakati na yeye wachina washamla panga la usd 18k?
Hata hiyo usd 18,000 anayosema amekatwa proof ipo wapi? Yule ni muongo kama ilifikaa stage ya kutoa bill of lading maana yake story ya wiki moja ni uongo , huyo mchaga arudishe pesa ya watu kwenye story yake kakiri kulipwa 129m ila yeye hana proof hata moja kwamba kafanya order au kalipa chochote huyo ni mwizi na imepita miezi sita anakuja kulalamika wakati hadi sasa hana proof hata moja ya kununua magari, maana hata leo angeweza kuleta gari kungekuwa hakuna kesi ila hana chochote ni mwizi
 
Hahaha. Dotto anakuambia ukija na fundi wako kukagua kabla ya kununua anakufukuza. Kwasababu magari ni ya kuaminika na uhakika huna haja ya kushuku. Na Issa ni mtu wa sala tano muaminifu very humble guy. Haki ya nani nitamuungisha Issa hii likizo ya mwezi wa 4 nakuja bongo.
Mkuu dalali ambae hana mtaji muogope sana,swala 5 sio issue upigaji palepale,watu wengi wamepigwa na hizo yard...heri uende kwa wapikistan gari wanazo unachagua n kulipia....hao wenye ofisi kama vibanda vya shisha kelele tu ukijaa unaumizwa fasta
 
Sikuzote tunasema sikiliza story pande zote 2 hapa tumeshajua tapeli ni nani.. tapeli ni huyo anayejiita bilionea na kitendo cha kusingizia kuna mtu mkubwa kitamcost sana
Mwanzo kabisa wa stori ya yule bikionea tapeli, minilisema alipe tu pesa za watu ili aishi kwa amani.
Basi member humu wakanipandia hewani na kuniwashia moto mbaya, haya sasa mambo yashakua hadharani
 
Mkuu dalali ambae hana mtaji muogope sana,swala 5 sio issue upigaji palepale,watu wengi wamepigwa na hizo yard...heri uende kwa wapikistan gari wanazo unachagua n kulipia....hao wenye ofisi kama vibanda vya shisha kelele tu ukijaa unaumizwa fasta
Haya tuliyasema hapa wengine tukaonekana legelege hatujui kukazia pesa inayo ingia kwa uchungu...🤣
 
Hata hiyo usd 18,000 anayosema amekatwa proof ipo wapi? Yule ni muongo kama ilifikaa stage ya kutoa bill of lading maana yake story ya wiki moja ni uongo , huyo mchaga arudishe pesa ya watu kwenye story yake kakiri kulipwa 129m ila yeye hana proof hata moja kwamba kafanya order au kalipa chochote huyo ni mwizi na imepita miezi sita anakuja kulalamika wakati hadi sasa hana proof hata moja ya kununua magari, maana hata leo angeweza kuleta gari kungekuwa hakuna kesi ila hana chochote ni mwizi
Hujui abc za biashara sio kosa lako
Biashara unatakiwa uwe na roho ngumu (ruthless) sio lelema ndo maana wako wachache

Ndo matajiri wote wanaroho ngumu buashara sio rahis kama unavyodhani mteja unamrudishia fedha kirahis rahisi
 
Hata hiyo usd 18,000 anayosema amekatwa proof ipo wapi? Yule ni muongo kama ilifikaa stage ya kutoa bill of lading maana yake story ya wiki moja ni uongo , huyo mchaga arudishe pesa ya watu kwenye story yake kakiri kulipwa 129m ila yeye hana proof hata moja kwamba kafanya order au kalipa chochote huyo ni mwizi na imepita miezi sita anakuja kulalamika wakati hadi sasa hana proof hata moja ya kununua magari, maana hata leo angeweza kuleta gari kungekuwa hakuna kesi ila hana chochote ni mwizi

Mkuu jamaa ni mfanyabiashara siyo kwamba amefanya utapeli bali ni mbinu ya kibiashara ya kumpata mteja ,alichofanya ni kumwambia kwamba mzigo upo then alipie kisha jamaa ndiyo aanze process za kuagiza......Ni wafanyabiashra wengi wanafanya ,hata Bakhesa ukimpigia ukimwambia nataka tani laki moja za sukari atakwambia ninazo lipia na ukute hana hata tani 100 store ila ukishamlipa ndiyo anaanza michakato ,sasa katika kipindi hicho ukihitaji proof naweza nikakupa feki docs ili mradi uingie tu kewenye 18 lakini lengo si kwamba nikupige...Hizo ni mbinu za biashara mkuu ....Hata ukienda K/koo kama hawana wanakwambia kipo store ngoja nikakifate lakini ukweli hawana ndiyo wanaenda kutafuta.
 
Mkuu jamaa ni mfanyabiashara siyo kwamba amefanya utapeli bali ni mbinu ya kibiashara ya kumpata mteja ,alichofanya ni kumwambia kwamba mzigo upo then alipie kisha jamaa ndiyo aanze process za kuagiza......Ni wafanyabiashra wengi wanafanya ,hata Bakhesa ukimpigia ukimwambia nataka tani laki moja za sukari atakwambia ninazo lipia na ukute hana hata tani 100 store ila ukishamlipa ndiyo anaanza michakato ,sasa katika kipindi hicho ukiitaji proof naweza nikakupa feki docs ili mradi uingie tu kewenye 18 lakini lengo si kwamba nikupige...Hizo ni mbinu za biashara mkuu ....Hata ukienda K/koo kama hawana wanakwambia kipo store ngoja nikakifate lakini ukweli hawana ndiyo wanaenda kutafuta.
Wengi hawajui abc za biashara
Biashara unatakiwa uwe muongo na roho ngumu sana bila hivyo huwezi pata mteja sababu ushindani ni mkubwa sana

Kuna mda inabidi umwambie mteja kitu unacho huku huna kikubwa ni umpate
 
Mkuu jamaa ni mfanyabiashara siyo kwamba amefanya utapeli bali ni mbinu ya kibiashara ya kumpata mteja ,alichofanya ni kumwambia kwamba mzigo upo then alipie kisha jamaa ndiyo aanze process za kuagiza......Ni wafanyabiashra wengi wanafanya ,hata Bakhesa ukimpigia ukimwambia nataka tani laki moja za sukari atakwambia ninazo lipia na ukute hana hata tani 100 store ila ukishamlipa ndiyo anaanza michakato ,sasa katika kipindi hicho ukiitaji proof naweza nikakupa feki docs ili mradi uingie tu kewenye 18 lakini lengo si kwamba nikupige...Hizo ni mbinu za biashara mkuu ....Hata ukienda K/koo kama hawana wanakwambia kipo store ngoja nikakifate lakini ukweli hawana ndiyo wanaenda kutafuta.
Sawa amekuja humu kulalamika imeshapita miezi sita hakuna gari wala hela wala proof yoyote kama ameagiza au amelipia gari huo ndio wizi tunaousema kkwa muda wote huu unasema umelipia wakati kwa miezi sita hakuna proof yoyote
 
Hujui abc za biashara sio kosa lako
Biashara unatakiwa uwe na roho ngumu (ruthless) sio lelema ndo maana wako wachache

Ndo matajiri wote wanaroho ngumu buashara sio rahis kama unavyodhani mteja unamrudishia fedha kirahis rahisi
Mkuu nimeanza biashara tangu nasoma secondary na kwetu ni wafanyabiashara ila huwezi kuja kulalamika humu ukijua miezi sita imepita na unatoa story ya uongo, hakuna alicholipia hadi leo hata hiyo usd 18,000 hana proof badala ya kuleta story za uongo angekaa waelewane jinsi ya kulipana ila siyo kukimbilia jamii forums
 
Mkuu nimeanza biashara tangu nasoma secondary na kwetu ni wafanyabiashara ila huwezi kuja kulalamika humu ukijua miezi sita imepita na unatoa story ya uongo, hakuna alicholipia hadi leo hata hiyo usd 18,000 hana proof badala ya kuleta story za uongo angekaa waelewane jinsi ya kulipana ila siyo kukimbilia jamii forums
sikujui ila kwa kauli zako nauhakika haufanyi biashara kubwa unafanya biashara za kawaida

Siku fanya biashara zenye hela nyingi ndo utaelewa nachomaanisha
Unaposema hana proof unataka kila kitu akuonyeshe ili iweje we mwenyewe unatumia jina bandia alafu akuonyeshe proof
 
Sawa amekuja humu kulalamika imeshapita miezi sita hakuna gari wala hela wala proof yoyote kama ameagiza au amelipia gari huo ndio wizi tunaousema kkwa muda wote huu unasema umelipia wakati kwa miezi sita hakuna proof yoyote

Mkuu pitia vizuri maelezo ya bilionea ,alisema wale jamaa walighairi baada ya week moja tu....hiyo miezi 6 ni kipindi cha malumbano yao kwamba makanjiabai wanataka hela yote waliyolipa wakati mfanyabiashara hataki kulipa yote kwasababu na yeye amekatwa usd 18k na wachina.....Deal lilikufa ndani ya week moja tu yaani tangia mwaka jana sept mwishoni so angeendelea vipi kuleta magari wakati wateja washacancel?
 
Back
Top Bottom