Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Jamaa ana utapeli wa kizamani sana. Kaingia cha kike asubiri kupigwa mbupu ya pilipili ya Kanjibhai.

Na anguko la huyu Bilionea Feki ni kuweka battle na polisi tena polisi mkuu kabisa wa mkoa. Matapeli wenzie huwa wanacheza dili na mapolisi.
Sasa inaonekana hapa Kanjibhai wameongea vyema na mapolisi.
Bilionea wa kubumba ataenda kufukuliwa mpaka visivyohusiana na hii kesi.
 
Bilionea ni tapeli tu hilo halina mjadala

Kwa maelezo hayo na muda waliompatia hela yeye mambo ni mawili arudishe hela au awape magari mambo ya anatishiwa mara boda hata mto wami aache hizo pigo eti bilionea milioni mia inamkimbiza mjini?
 
Muhindi wa kwanza
Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.

Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
kupigwa kama ngoma
Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha
We unamtetea tapeli mwenzio? Mtu akulipe hela halafu usitekeleze wajibu wako uanze kumuita ana wenge! Hamnaga kitu kama hicho...
 
Kwa hiyo anajisifia anaelewa wakati kauziwa mbuzi kwenye gunia
Kuna watu wanatapeliwa kifala kweli
Unampaje 100m kwa maneno tu
Leta magari nikupe hela yako simple
Mara magari used mara mapya yaani kawavuruga haswa
Bei ya China na Bongo bei moja na machale hayakuchezi kabisa unaingia king 🤴
 
Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Billionea kashanyea kambi, amepewa hela 6 months ago we unasema week 1! Kama alishaagiza hizo gari ziko wapi sasa???
 
Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Magari yameagizwa tarehe 8 Kabla jamaa hawajaenda wameenda tarehe 12 na wakaanza kuingizia pesa siku hiyo kumbuka aliwaambia gari zipo njiani Kabla hata hawajaenda sikiliza vizuri
 
Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.

Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Aisee:Huyo jamaa ni tapeli
 
Unafanya thorough due diligence baada ya kulipa pesa na kisha kuona dalili ya kutapeliwa wakati ilitakiwa uifanye kabla ya kumlipa chochote.
Hapo sasa
Eti billionaire halafu mwisho eti ndio wanauliza na kuambiwa kuwa ni Dalali
Kweli mkuu kwanini wasipeleleze kwanza kabla ya kumpa dalali hela?

Hao wamepigwa kiboya
 
Kwa hiyo anajisifia anaelewa wakati kauziwa mbuzi kwenye gunia
Kuna watu wanatapeliwa kifala kweli
Unampaje 100m kwa maneno tu
Leta magari nikupe hela yako simple
Mara magari used mara mapya yaani kawavuruga haswa
Bei ya China na Bongo bei moja na machale hayakuchezi kabisa unaingia king 🤴
Kanjibhai alitaka mteremko, tapeli boya na akataka kumteremsha.

Huyo tapeli nae ni fala, angecheza karata zake vizuri hasa kwenye documentation angekunja Mil. 500 yote akasepa nayo, ila ndio hivyo tapeli boya kama Kanjibhai tu.
 
Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.

Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Shami ni Mangi?
 
Kama wanajielewa walikwendaje kumpa kazi ya kuwanunulia Magari yule bilionea wa mchongo
Mkuu Ras, wakati mwingine hata jina la mtu linaweza kukupa hint, mwenyewe yukoje. Hivi kweli mtu anayejiita bilionea, si kuna ukakasi hapo? Mbailionea wa kweli huwa hawataki kujulikana. Ni sawa na mtu anayejigamba ni msomi kama huyu waziri wetu wa fedha, siku zote huwa ni msomi feki.
 
Hapo sasa
Eti billionaire halafu mwisho eti ndio wanauliza na kuambiwa kuwa ni Dalali
Kweli mkuu kwanini wasipeleleze kwanza kabla ya kumpa dalali hela?

Hao wamepigwa kiboya
Ninavyohisi mimi, hawa jamaa walijachunguza baadae (baada ya kulipa)wakakuta pengine bei ya wao kuagiza moja kwa moja ni ndogo, ikilinganishwa na bei waliyoambiwa na huyu ''bilionea''. Hii ikafanya waghairi na kutaka waagize wenyewe, hivyo waka-cancel order.
 
Back
Top Bottom