Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Jamaa ana utapeli wa kizamani sana. Kaingia cha kike asubiri kupigwa mbupu ya pilipili ya Kanjibhai.
Na anguko la huyu Bilionea Feki ni kuweka battle na polisi tena polisi mkuu kabisa wa mkoa. Matapeli wenzie huwa wanacheza dili na mapolisi.
Sasa inaonekana hapa Kanjibhai wameongea vyema na mapolisi.
Bilionea wa kubumba ataenda kufukuliwa mpaka visivyohusiana na hii kesi.
Na anguko la huyu Bilionea Feki ni kuweka battle na polisi tena polisi mkuu kabisa wa mkoa. Matapeli wenzie huwa wanacheza dili na mapolisi.
Sasa inaonekana hapa Kanjibhai wameongea vyema na mapolisi.
Bilionea wa kubumba ataenda kufukuliwa mpaka visivyohusiana na hii kesi.