kupigwa kama ngomaBaada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
We unamtetea tapeli mwenzio? Mtu akulipe hela halafu usitekeleze wajibu wako uanze kumuita ana wenge! Hamnaga kitu kama hicho...Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha
Billionea kashanyea kambi, amepewa hela 6 months ago we unasema week 1! Kama alishaagiza hizo gari ziko wapi sasa???Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Mbona mdai kaeleza vzuri sana sababu za kuingia chaka?Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Magari yameagizwa tarehe 8 Kabla jamaa hawajaenda wameenda tarehe 12 na wakaanza kuingizia pesa siku hiyo kumbuka aliwaambia gari zipo njiani Kabla hata hawajaenda sikiliza vizuriUlimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Aisee:Huyo jamaa ni tapeliBaada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Hapo sasaUnafanya thorough due diligence baada ya kulipa pesa na kisha kuona dalili ya kutapeliwa wakati ilitakiwa uifanye kabla ya kumlipa chochote.
ila viongozi wanaowekeza kwa hao makabachori siyo wahunWabongo kwa uhuni uhuni 😂😂 huyu jamaa wadeal nae perpendicular, alipe
Kanjibhai alitaka mteremko, tapeli boya na akataka kumteremsha.Kwa hiyo anajisifia anaelewa wakati kauziwa mbuzi kwenye gunia
Kuna watu wanatapeliwa kifala kweli
Unampaje 100m kwa maneno tu
Leta magari nikupe hela yako simple
Mara magari used mara mapya yaani kawavuruga haswa
Bei ya China na Bongo bei moja na machale hayakuchezi kabisa unaingia king 🤴
Shami ni Mangi?Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Mkuu Ras, wakati mwingine hata jina la mtu linaweza kukupa hint, mwenyewe yukoje. Hivi kweli mtu anayejiita bilionea, si kuna ukakasi hapo? Mbailionea wa kweli huwa hawataki kujulikana. Ni sawa na mtu anayejigamba ni msomi kama huyu waziri wetu wa fedha, siku zote huwa ni msomi feki.Kama wanajielewa walikwendaje kumpa kazi ya kuwanunulia Magari yule bilionea wa mchongo
Ni uhuni kuwekeza .? Kwa sheria ipi ? Hakuna uhuni kwenye kuwekeza, na wew nenda kawekeze mkuu kama unaona wanafaidiila viongozi wanaowekeza kwa hao makabachori siyo wahun
Bilionea hana sh milion moja ya kulipa??Bilionea ni tapeli tu hilo halina mjadala
Kwa maelezo hayo na muda waliompatia hela yeye mambo ni mawili arudishe hela au awape magari mambo ya anatishiwa mara boda hata mto wami aache hizo pigo eti bilionea milioni mia inamkimbiza mjini?
Ninavyohisi mimi, hawa jamaa walijachunguza baadae (baada ya kulipa)wakakuta pengine bei ya wao kuagiza moja kwa moja ni ndogo, ikilinganishwa na bei waliyoambiwa na huyu ''bilionea''. Hii ikafanya waghairi na kutaka waagize wenyewe, hivyo waka-cancel order.Hapo sasa
Eti billionaire halafu mwisho eti ndio wanauliza na kuambiwa kuwa ni Dalali
Kweli mkuu kwanini wasipeleleze kwanza kabla ya kumpa dalali hela?
Hao wamepigwa kiboya