Baada ya Bocco kumsemea Phiri kwa Mungu sasa zamu ya Baleke

Baada ya Bocco kumsemea Phiri kwa Mungu sasa zamu ya Baleke

Baada ya Bocco kusema na Mungu wake alipopitia nyakati ngumu zilizotokana na kunyang'anywa namba na Phiri, maombi yalijibiwa na wote tu mashahidi wa nini kiliendelea. Phiri sasa anamuogopa na kumuheshimu Bocco kama ukoma.

Sasa juzi hapa Mwenda amempeleka tena Bocco kwa wakulungwa huko madizini Morogoro ili Baleke ashughulikiwe ipaswavyo, taarifa zinasema wamepewa wiki mbili matokeo yataonekana, na bocco safari hii amesema anataka huyu mkongoman apate jeraha la nyonga ambalo ni vigumu kupona na huchukua muda mrefu sana

Ni swala la muda tuu Baleke atajeruhika nyonga na kukaa nje ya dimba kwa muda mrefu

Katika safari hiyo pia, mwenda aliulizia feedback ya kazi aliyompa mganga kumshughulikia Kapombe na kuambiwa mambo yako sawa, atakua anaumia kila anapoingia uwanjana

Wasalaam
Kwani amegoma kustaafu si nasikia amekuwa Kocha
 
Babu Onyango asichezeshwe, bila ya hivyo, tujitayarishe tu na kuvunja viti na hizo kejeli na maudhi ya mashabiki wa UTO.
Na nimeona jana msemaji wetu kwenye ile Conference akijibu maswali ya waandishi wa habari as if tumeshakata tamaa na ubingwa.
Kwa muda sasa nimekuwa napendekeza Outtara ila hata Kennedy nadhani ni afadhali zaidi.

Naona pia Kapombe ahamishwe position ili yeye na Mwenda wawe wanaanza pamoja. Kapombe anaweza cheza nafasi nyingi kwa ufanisi kuziba pale panapoonekana pamepelea. Sina uhakika kwa nafasi ya Onyango ila kama kiungo anaweza kuisaidia sana timu.
 
Mbona Umeandika Upuuzi sana.

Akili yako inaonekana ni ndogo sana.

Mnaishalilisha Jamii forum.

Unaushaidi??????
Unapicha wakiwa kwa MGANGA????
Unasauti zao??????


FICHA UJINGA
We mwehu nini?

Kwa hiyo akili yako imeishia hapo? Kwamba picha na sauti ndo ushahidi pekee?
 
Baada ya Bocco kusema na Mungu wake alipopitia nyakati ngumu zilizotokana na kunyang'anywa namba na Phiri, maombi yalijibiwa na wote tu mashahidi wa nini kiliendelea. Phiri sasa anamuogopa na kumuheshimu Bocco kama ukoma.

Sasa juzi hapa Mwenda amempeleka tena Bocco kwa wakulungwa huko madizini Morogoro ili Baleke ashughulikiwe ipaswavyo, taarifa zinasema wamepewa wiki mbili matokeo yataonekana, na bocco safari hii amesema anataka huyu mkongoman apate jeraha la nyonga ambalo ni vigumu kupona na huchukua muda mrefu sana

Ni swala la muda tuu Baleke atajeruhika nyonga na kukaa nje ya dimba kwa muda mrefu

Katika safari hiyo pia, mwenda aliulizia feedback ya kazi aliyompa mganga kumshughulikia Kapombe na kuambiwa mambo yako sawa, atakua anaumia kila anapoingia uwanjana

Wasalaam
Huwezi tenganisha UCHAWI na ROHO MBAYA...

Kuna mdau hapa amewai kusema John Boko amewai cheza mpira ligi kuu na Baba Ake mzazi🤓

Itoshe kusema Bocco apumzike umri umemtupa...

We need football revolution 🇹🇿🇹🇿
 
Huwezi tenganisha UCHAWI na ROHO MBAYA...

Kuna mdau hapa amewai kusema John Boko amewai cheza mpira ligi kuu na Baba Ake mzazi🤓

Itoshe kusema Bocco apumzike umri umemtupa...

We need football revolution 🇹🇿🇹🇿
Wasipoangalia Bocco atawamaliza .. Ipo siku atawaloga mpaka makocha
 
chezaji la hovyo linapiga vichwa wenzie tena kama hayo yapo mengi hapo simba
 
Luc Eymael njoo uwachukue watu wako wanatubwekea mitaani hovyo watu hatulali
 
Baada ya Bocco kusema na Mungu wake alipopitia nyakati ngumu zilizotokana na kunyang'anywa namba na Phiri, maombi yalijibiwa na wote tu mashahidi wa nini kiliendelea. Phiri sasa anamuogopa na kumuheshimu Bocco kama ukoma.

Sasa juzi hapa Mwenda amempeleka tena Bocco kwa wakulungwa huko madizini Morogoro ili Baleke ashughulikiwe ipaswavyo, taarifa zinasema wamepewa wiki mbili matokeo yataonekana, na bocco safari hii amesema anataka huyu mkongoman apate jeraha la nyonga ambalo ni vigumu kupona na huchukua muda mrefu sana

Ni swala la muda tuu Baleke atajeruhika nyonga na kukaa nje ya dimba kwa muda mrefu

Katika safari hiyo pia, mwenda aliulizia feedback ya kazi aliyompa mganga kumshughulikia Kapombe na kuambiwa mambo yako sawa, atakua anaumia kila anapoingia uwanjana

Wasalaam
We ndio mchawi kuua morali ya wachezaji.
Phiri mlimkamia baada ya ninyi utopolo kumwona anakuwa tishio.Mliwatuma vibaraka wenu wamuumize

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
inawezekana jamaa kaandika kiutani, lkn simba na yanga kumekuwepo na hizi tuhuma muda mrefu sana, wanarogana sana!

nadhan tatizo ni viongozi, kwa sababu wangekua makini mchezaji yeyote anaeonesha dalili za ulozi inatakiwa kuvunjiwa mkataba aondoke,
Viongozi gani unawasemea hao simba wenyewe si waliwasha moto katikati ya uwanja pale afrika kusini
 
inawezekana jamaa kaandika kiutani, lkn simba na yanga kumekuwepo na hizi tuhuma muda mrefu sana, wanarogana sana!

nadhan tatizo ni viongozi, kwa sababu wangekua makini mchezaji yeyote anaeonesha dalili za ulozi inatakiwa kuvunjiwa mkataba aondoke,

Fei hataki kusema tu, ila moja ya sababu ni mambo ya ulozi anayoaambiwa afanye huko Yanga wakiwa wanajiandaa na mechi hasa kama hii ya trh 16 April

Subiria yafike shingoni atasema tu. Akaamua aondoke zake lkn yanga wanamkamia.
 
Back
Top Bottom