Baada ya busu tukaachana

Baada ya busu tukaachana

Naona unachangamsha genge..

Vp unanyonya, unalamba, unadonyoa au unang'ata wakati wakukiss?
 
1740405329893.png
 
Duh Sawa bloh acha niongeze budget ya kuhonga

Nijifunze wapi sasa ukizingatia nina 17 yrs na ndio nimeanza haya mambo
Dah! umenikumbusha Series ya End of the F**king world kuna dogo James anapiga denda kama ugomvi.
Usipige denda la kigumu, lainika lainika dogo tafuna mabig G piga mswaki, unukie next time usituangushe mwanetu.
 
Dah! umenikumbusha Series ya End of the F**king world kuna dogo James anapiga denda kama ugomvi.
Usipige denda la kigumu, lainika lainika dogo tafuna mabig G piga mswaki, unukie next time usituangushe mwanetu.
Sawa bloh ndio najifunzia bado
 
Piga mswaki kwa kutumia COLGATE MAXFRESH. Kumbuka sio colget tu, COLGET MAXFRESH. Fikisha mswaki kwa usahihi sehemu zote za kinywa. Sugua kwenye ulimi mpaka ndani ndani.
 
Back
Top Bottom