Baada ya CCM kuzidiwa: Mkuu wa Mkoa wa Morogoro atuhumiwa kumnyanyasa Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Daniel Shilla. Ameagiza akamatwe na Jeshi la Polisi

Baada ya CCM kuzidiwa: Mkuu wa Mkoa wa Morogoro atuhumiwa kumnyanyasa Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Daniel Shilla. Ameagiza akamatwe na Jeshi la Polisi

Chadema mwelezeni ethics za kuchukua fomu na kutafuta wadhamini sio zoezi la kelele iwe YouTube Wala njiani.Unaenda walipo wadhamini wanakujazia unaondoka aige watia Nia wenzie ndani ya Chadema wa Uraisi, ubunge na udiwani naona yeye haelewi kitu
 
Kutafuta wadhamini kunahitaji hotuba? Nilimwona shila nikashangaa hata Maguifuli alipokuwa akitafuta wadhamini hatukumuona popote akihutubia, Tundu Lisu , Nyalandu nk pia wanatafuta wadhamini hakuna popote kusimamisha watu kuhutubia

Wabunge kibao chadema wamechukua fomu kutafuta wadhamini wote wanazunguka nazo fomi zao kimya kimya huoni wakisimama popote kuhutubia .Wanajaziwa wanaondoka

Shila haelewi zoezi la kujaza fomu kaparamia siasa
Hebu fuatilia tuhuma zinazotungwa na RC kabla hujaropoka
 
Kijana kaongea ukweli asilimia 99.9 lakini kakosea sehemu moja tu kujua katika haya magufuli ana husika kwa asilimia 100 .
Ebu rudia hata mara tatu kumsikiliza, hajasema kuwa Magufuli anahusika alichokisema ni kwamba viongozi waliopo yaani huyu mkuu wa mkoa wanamchafua rais kwa kuwaonea watu. Kwasababu wanapofanya hivyo mara nyingi wanasema maelekezo yametoka juu. Maelekezo yanakuwa yametoka juu wapi?? Mbinguni??
 
Jamaa mbishi dah
Lakini watu waelewe jamaa ni star kushangiliwa ni kawaida

Ova
 
Back
Top Bottom