YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Chadema mwelezeni ethics za kuchukua fomu na kutafuta wadhamini sio zoezi la kelele iwe YouTube Wala njiani.Unaenda walipo wadhamini wanakujazia unaondoka aige watia Nia wenzie ndani ya Chadema wa Uraisi, ubunge na udiwani naona yeye haelewi kitu