Hebu fuatilia tuhuma zinazotungwa na RC kabla hujaropokaKutafuta wadhamini kunahitaji hotuba? Nilimwona shila nikashangaa hata Maguifuli alipokuwa akitafuta wadhamini hatukumuona popote akihutubia, Tundu Lisu , Nyalandu nk pia wanatafuta wadhamini hakuna popote kusimamisha watu kuhutubia
Wabunge kibao chadema wamechukua fomu kutafuta wadhamini wote wanazunguka nazo fomi zao kimya kimya huoni wakisimama popote kuhutubia .Wanajaziwa wanaondoka
Shila haelewi zoezi la kujaza fomu kaparamia siasa
Morogoro ina bahati mbaya sana na Wakuu wa MikoaNchi imekuwa ya hovyo kabisa kiutawala.
Hahaha wenzake wanapojua kuna ziara ya mtukufu rais, shule zote zinafungwa, wanafunzi wanaamriwa kuhudhuria wakiwa bila uniform za shule.
Ebu rudia hata mara tatu kumsikiliza, hajasema kuwa Magufuli anahusika alichokisema ni kwamba viongozi waliopo yaani huyu mkuu wa mkoa wanamchafua rais kwa kuwaonea watu. Kwasababu wanapofanya hivyo mara nyingi wanasema maelekezo yametoka juu. Maelekezo yanakuwa yametoka juu wapi?? Mbinguni??Kijana kaongea ukweli asilimia 99.9 lakini kakosea sehemu moja tu kujua katika haya magufuli ana husika kwa asilimia 100 .
Viongozi wa dini ni Bagonza, Shoo, Mwakula na Ponda, wengine wote ni wajasiriamali wa dini.Viongozi wa dini wapo kimya wanasubiri sadaka jumapili.
Acha dharau we binti. Mwanaume anayeweza kukuoa na kukulisha unamuita muosha magari. Kisa tu amekuumbu kwa uongo wako.Wewe muosha magari ya polepole utaijuaje nchi nzima ?
Nguvu kubwa ya nini inatumika wakati mnajua lijualikali anakubalika huko....Wamfinye kidogo huyo Shilla akili zirudi.
Sawa.Nguvu kubwa ya nini inatumika wakati mnajua lijualikali anakubalika huko....
Kuwe na open game tu
Ova
una akili ya kitanzania hasa !Acha dharau we binti. Mwanaume anayeweza kukuoa na kukulisha unamuita muosha magari. Kisa tu amekuumbu kwa uongo wako.
Ana mwili mkubwa lakini ubongo wa sisimiziYule Mkuu Wa mkoa Wa Moro uwezo wake mdogo sana, nimemsikiliza haeleweki kabisa.kiujumla Ni uonevu tu
We unazo za kichina?una akili ya kitanzania hasa !
Wewe ulishawahi kufanyiwa?Wamfinye kidogo huyo Shilla akili zirudi.