feyzal JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 7,683 Reaction score 15,128 Jul 10, 2020 #41 Kazi kweli kweli Nanye Go said: Hahaha wenzake wanapojua kuna ziara ya mtukufu rais, shule zote zinafungwa, wanafunzi wanaamriwa kuhudhuria wakiwa bila uniform za shule. Yeye alitaka wananchi wahudhurue, watatoka wapi?! Click to expand...
Kazi kweli kweli Nanye Go said: Hahaha wenzake wanapojua kuna ziara ya mtukufu rais, shule zote zinafungwa, wanafunzi wanaamriwa kuhudhuria wakiwa bila uniform za shule. Yeye alitaka wananchi wahudhurue, watatoka wapi?! Click to expand...
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 24,977 Reaction score 23,799 Jul 10, 2020 #42 mr mkiki said: Sio kilombero tu,nchi zima maana viongozi wanatoa rushwa kama wananunu uzima. Waambie MACCM wafanye ujinga wao tu lakini kifo kipo pale pale Click to expand... 100%
mr mkiki said: Sio kilombero tu,nchi zima maana viongozi wanatoa rushwa kama wananunu uzima. Waambie MACCM wafanye ujinga wao tu lakini kifo kipo pale pale Click to expand... 100%
Mzee Wa Republican JF-Expert Member Joined Jul 20, 2013 Posts 1,666 Reaction score 847 Sep 24, 2020 #43 Erythrocyte said: Hii ni aibu kubwa sana kwa Mtu mzima ambaye ni juzi tu ameteuliwa kutoka ccm Arusha na kuwa RC wa Morogoro . Click to expand... Angejua . . . angeiacha tu kilombero. Pale ccm hawashindi
Erythrocyte said: Hii ni aibu kubwa sana kwa Mtu mzima ambaye ni juzi tu ameteuliwa kutoka ccm Arusha na kuwa RC wa Morogoro . Click to expand... Angejua . . . angeiacha tu kilombero. Pale ccm hawashindi