Baada ya CHADEMA kula ruzuku peke yake bila kuvigawia vyama shirika uchaguzi wa 2015 Msajili abadili kanuni na kuweka masharti magumu!

Hivi Ukawa ilikuwa bado ipo?
Je, vyama vilivyoshirikiana na ukawa vilikuwa vinafaidi matokeo ya ukawa?

Ukawa haikuwa kisheria bali ni ushirikiano ambao haukuwa rasmi. Kufaidi matokeo ya ukawa ulitaka iwe kwa dalili zipi au kwenye nyanja zipi labda? Ninachojua kila chama kilipata kilichopata, kutokana na kukubalika kwake kwa wananchi kama chama.
 
Ccm imepeleka michango ya wafanyakazi wake mifuko ya hifadhi ya jamii?Kazi kudandia yasiyowahusu ya kwenu yanawashinda.
 
Mlikipa tlp sh ngapi kwa kumuunga mkono magufuli.
 
Sisi ccm tumeungana na tlp na UDP watamuunga mkono jiwe lkn kwenye ruzuku hawalambi hata mia na msajili wa vyama hatutafanya chochote make kateuliwa na mwenyekiti wetu, hiyo sheria ni kwa ajili ya chadema na ACT make wametukalia kooni hatupumui

Mlema na baadhi ya wajumbe watapewa nafasi za uongozi katika serikari
 
Mimi najiuliza tu CDM itaishi vipi bila ruzuku baada ya uchaguzi na ile michango ya asilimia kumi itakoma maana wa kurudi bungeni sijui ni nani
 
Matajiri anapoteza muda. CDM tunapinga hesabu za kushinda uchaguzi na Siyo kupata wabunge wengi.
 
Hivi nyie hamfanyi Kazi
Au kupigia chapuo watu fulani ndy Kazi yenu

Ova
 
Hivi kuna maandishi yoyote yaliyowekwa kuhusiana na ndoa ya CCM na NCCR- MAGEUZI?
 
Tlp, udp, inabidi wanufaike na ushirika wao na ccm, wadhulumiwa sana na ccm kwenye ruzuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…