Baada ya Chikwende Junior Lokosa wa Nigeria ajiunga simba

Baada ya Chikwende Junior Lokosa wa Nigeria ajiunga simba

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Baada ya kumsajili attacking midfielder Chikwende kutoka zimbabwe simba wamemsajili mshambuliaji wa zamani wa team ya taifa ya nigeria super eagles na team ya esperance de tunis aitwaye Junior lokosa
Screen Shot 2021-01-15 at 8.37.39 PM.png
 
Yale yale ya Yikpe kukataa kufanya majaribio kumbe anajijua ni kituko
tusubiri tuone ndiyo maana wamempa miezi sita haya mambo sa ingine ni gamble sana, sarpong alikuwa tishio rwanda, balinya, mugalu,serunkuma,mavugo walikuja hapa na rekodi za kutisha ila wakati mwingine inakuwa chenga unayemtrajia anakuangusha usiyetarajia inakua maajabu kama okwi ilivyokuwa
 
Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?
 
Alikuwa majeruhi wa muda huyu, ila Simba wamempa mkataba mfupi wa miezi 6 wakichukua tahadhari iwapo bado ana pancha. Hapo ni pata potea, kama akiwa fit basi Simba watakuwa wamepata bonge la striker, ila kama bado pancha, si mbaya sana maana watamvumilia miezi hiyo asepeshwe
 
Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?
kishingo hajafukuzwa kaka morroco anapata mshahara mara tatu aliokuwa anapata simba na ni karibu na ubelgiji hata family yake kumfata ni rahisi na league ya morroco ni kubwa na tajiri kuliko yetu alitaka kuondoka mwenyewe,hayo mengine sikubishii lakini tangu lini kocha bongo akasema namtaka mchezaji fulani kalatewa?labda wa kibongo hawa wa milioni 30 kuna kipindi uchebe alimtaka Justin shonga wakaambiwa bei milioni 800 story iliishia hapohapo
Bongo kocha anasema nataka kiungo,beki,mshambuliaji analetewa yoyote ndiyo maana wanakuja ma free agents au cheap wa kutoka burundi ,kenya , congo zimbabwe zambia
 
kishingo hajafukuzwa kaka morroco anapata mshahara mara tatu aliokuwa anapata simba na ni karibu na ubelgiji hata family yake kumfata ni rahisi na league ya morroco ni kubwa na tajiri kuliko yetu alitaka kuondoka mwenyewe,hayo mengine sikubishii lakini tangu lini kocha bongo akasema namtaka mchezaji fulani kalatewa?labda wa kibongo hawa wa milioni 30 kuna kipindi uchebe alimtaka Justin shonga wakaambiwa bei milioni 800 story iliishia hapohapo
Bongo kocha anasema nataka kiungo,beki,mshambuliaji analetewa yoyote ndiyo maana wanakuja ma free agents au cheap wa kutoka burundi ,kenya , congo zimbabwe zambia
Hata ukimuelezea yote hayo sidhani kama atakuelewa mana wabongo ni wajuaji kuliko
 
kishingo hajafukuzwa kaka morroco anapata mshahara mara tatu aliokuwa anapata simba na ni karibu na ubelgiji hata family yake kumfata ni rahisi na league ya morroco ni kubwa na tajiri kuliko yetu alitaka kuondoka mwenyewe,hayo mengine sikubishii lakini tangu lini kocha bongo akasema namtaka mchezaji fulani kalatewa?labda wa kibongo hawa wa milioni 30 kuna kipindi uchebe alimtaka Justin shonga wakaambiwa bei milioni 800 story iliishia hapohapo
Bongo kocha anasema nataka kiungo,beki,mshambuliaji analetewa yoyote ndiyo maana wanakuja ma free agents au cheap wa kutoka burundi ,kenya , congo zimbabwe zambia
Dah kama kaondoka mwenyewe hapo sasa ni mtihani. Ila hata hivyo sioni kama simba ilihitaji hawa watu 2.
 
Back
Top Bottom