Baada ya Chikwende Junior Lokosa wa Nigeria ajiunga simba

Baada ya Chikwende Junior Lokosa wa Nigeria ajiunga simba

Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?
Shida ya mpira wa mbongo Simba ukisjili wa Yanga mnajifanya mnajua kukosoa na Yanga ikisajili wa simba mnajifanya kukosoa.
Sasa simba ikiwa na Wachezaji wengi kuna shida gani?
Mashindano ni race kuna kuumia, kunakuhitaji kupumzika kwa Wachezaji. Acha mchezaji aje afanye kazi yake sio kujifanya tunakosoa kila kitu. Afu eti 10% ndo Yale Yale ya kuleta tuhuma bila ushahidi. Toeni na ushahidi ili kulisaidia soka la Tanzania na rushwa
 
Anhaa haya. Ila taarifa ya mwanzo kabisa juu ya kuondoka kwa kocha iliyokuja jf ilisema simba ndiyo waliamua mkataba ufe. Kama baadaye ilidhihirika haiko hivyo mimi sikujua hilo swala.
Ndo shida, unaacha kufuatilia zaidi habari, afu badae mseme kwa mnavyoufahamu mpira wa bongo. Tusiwe watu wa matukio, tuutafute ukweli kwanza
 
Ndo shida, unaacha kufuatilia zaidi habari, afu badae mseme kwa mnavyoufahamu mpira wa bongo. Tusiwe watu wa matukio, tuutafute ukweli kwanza
Mi siyo mzuri katika mpira wa Tz. Taarifa ni mpaka nikutane nayo humu hua sitafuti taarifa zake. Miyeyusho sana ligi yetu niliacha kufuatilia mpira wa Tz kitambo.
 
Mi siyo mzuri katika mpira wa Tz. Taarifa ni mpaka nikutane nayo humu hua sitafuti taarifa zake. Miyeyusho sana ligi yetu niliacha kufuatilia mpira wa Tz kitambo.
Kwa kukushauri usiwe mwepesi kuzungumza, maana utakua sawa na unaowaita magumashi
 
takwimu zake siyo mbaya naangalia comments za wanigeria kwenye hiyo page wanasema ni striker mzuri,simba walitaka wamfanyie majaribio akakataa nahisi ndiyo maana kapewa mkataba wa miezi 6 alikaa muda bila team
Ukiona mchezaji anakataa kufanyiwa majaribio jua huyo ni Yikpe type.
 
Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?
Best analysis
 
Unaidhalilisha Simba kwa comments kama hizi, jifunze kutofautisha ushabiki na maoni ya kujenga.
Hype iliyokuwepo kuhusu huyo bwana haiendani na tunachokiona. Hiyo juzi alikuwa anonymous kama anonymous wengine tu. Huko ndio ukweli mchungu
 
Wewe mpira haujui kashabikie rede tu. Kwahiyo Kakolanya angedaka penati ndio ingekuwa kuumbuka kwa Saidioo kuanza ku flop?. Kwahiyo Kagere na Onyango wameflop kwavile wamekosa penati? Hata Mesi na Ronaldo hawawezi kutamba kila siku. Kuna siku wanakuwa na siku mbaya. Tuje bongo tena. Chama na Luis kuna siku game zinawakataga.

Embu tupe statistic za Saido zinaonesha kuwa kweli ameanza kufliop sasa
Mkuu mbumbumbu wasikusumbue kichwa
 
Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?
Bongo kocha hahusiki sana kwenye usajili mkuu,na hata Matola hawezi hata kuulizwa maoni yake
 
Bongo kocha hahusiki sana kwenye usajili mkuu,na hata Matola hawezi hata kuulizwa maoni yake
Utopolo si juzi walikuwa wanahangaika na Idris mbombo ,nini kiliwakuta? ni siri yao sababu kaenda El gouran ya egypt kuchukua nafasi ya bwalya, kuna bei nyingine inabidi mtu ukaushe tu ila ikitokea kwa simba kuwakosa kina shonga kelele zinapigwa kinoomanoma
 
Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?
Lakini nilisikia Sven hakufukuzwa bali alipata offer yenye mshiko mnono ndo maana akasepa.
 
Mpira wa bongo ulivyo wa kipuuzi.

Unafukuza kocha. Kisha unasajili wachezaji, hawa wachezaji ni chaguo la Matola? Kama ndiyo ina maana alikua msaidizi huku hakiamini kikosi? Kikosi ambacho kinatengeneza chances nyingi kuliko hata Arsenal. Kikosi kama hicho kinahitaji nyongeza kweli?

Kwa uzoefu wangu ulionikimbiza kushabikia mpira wa bongo mimi naamini kocha alilazimishwa asajili hawa watu 2 ili watu wapige 10% akagoma alivyogoma akaonyeshwa mlango kisha haraka haraka wanasajili ili wapige 10% yao.

Akija kocha anayejielewa kikosi kile kile kilikua kinahitaji morali tu.

Maajabu yake utakuta mashabiki wanashangili ujio wa hawa wawili. De Beek alivyohitajika man u watu waliuliza atacheza wapi? Na hawa nao mashabiki wajiulize watacheza wapi?

Mkuu, mambo ya Simba hasa usajili na mengineyo yako very closed monitored na Mo + CEO

Hvyo hoja ya kusema Kocha alisepeshwa kisa kaminya upigaji wa watu SIO KWELI. Mambo yahusuyo mikataba ya wachezaji na benchi la ufundi yanaangaliwa kwa ukaribu sn na Mo, hvyo wale janja janja wa enzi hizo hawana nafasi kwa Simba hii ya sasa
 
Back
Top Bottom