shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,068
- 3,507
- Thread starter
- #21
😀😀😀 Pole Sana Mkuu,ukipata kulumbembe ni kama kujiongezea stress Tu na makasiriko!Mkuu nifanyie mpango na me nimesindikiza kulumbembe stand wiki iliyopita akiagizwa anamuangalia maza house juu mpaka chini pandisha shusha na kusonya khaa.