πππ Pole Sana Mkuu,ukipata kulumbembe ni kama kujiongezea stress Tu na makasiriko!Mkuu nifanyie mpango na me nimesindikiza kulumbembe stand wiki iliyopita akiagizwa anamuangalia maza house juu mpaka chini pandisha shusha na kusonya khaa.
Mnasagana? au wewe ni wakiume?πππ Kabla ya kilio kikuu nitakuwa nimesha faidi wema WA haka kabinti!
Amani ya nini? Raha ya kuachana muachane kwa timbwili....mtupiane masufuria usoniMungu aepushie mbali!
Kama kuachana tuachane Kwa Amani Tu!
Basi Uzi wako sikuuelewa,hata ukisoma comment 9# kuna mdau nae kaelewa kama nilivyoelewa Mimi.Astaghafirulah!!!!
Huyu ni binti WA kazi,Mimi ni mama mwenye nyumba, binti anafanya kazi zake vizuri!
Kusagana kumetoka wapi hapo?
Unipasie na Mimi huku pia nifaidi,ππππ Ila nitakuwa Nisha faidi!
Bado binti mdogo Pesa peke Yake haitoshi kumuandalia Kesho Yake!Mlipe mshahara mzuri sasa na yeye afanye maisha. maana na yeye katoka kwao Ngara kuja mjini kutafuta. hii mishahara ya laki moja hapana. Lazima atakimbia.