Baada ya Dirisha kufungwa wageni Yanga SC wako 13 badala ya 12 tu wanaotakiwa Kisheria

Baada ya Dirisha kufungwa wageni Yanga SC wako 13 badala ya 12 tu wanaotakiwa Kisheria

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Uongozi wa Yanga SC na wana Yanga SC msione Aibu Kutangaza kuwa mnapanga kuachana na Mtukutu Bernard Morrison ili kubaki na Wachezaji 12 Wanaotakiwa.

Na taarifa za ndani kabisa kutoka kwa Wanyetishaji wangu wanasema kuwa hata Kocha Mkuu wenu Nabi hamtaki Morrison japo baadhi ya Viongozi mnataka Kumfyeka Bigirimana au Kisinda ambao Kocha Nabi anawahitaji na bado anawakubali japo sometimes wana ups and and downs za hapa na pale.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said nasikia Msemaji wenu Ali Shabaan Kamwe anamalizia Kukuandikia Maelezo ambayo muda mfupi ama Leo au Kesho utaita Press na Kulizugumzia hili.

Na mkimuacha Gael Bigirimana mpeni na Shilingi zake Milioni 700 anazozitaka ili muachane nae kwa Amani na mkimuacha Twisila Kisinda jiandaeni Kununiwa na Kususiwa na Malaika Wenu Takatifu Fiston Mayele ambaye ameshasema hataki kusikia Bandeko Nangai (Mkongo) Mwenzake huyo na Rafiki yake wa karibu tokea Kwao DRC anaachwa ndani ya Kikosi/Klabu ya Yanga.

Mtaficha mambo yenu/taarifa zenu za ndani ila GENTAMYCINE nitazipata tena haraka hata kuliko wana Yanga SC lia lia kama akina Frank Wanjiru wa hapa JamiiForums.

Nakumbuka mwaka jana tena hapa hapa JamiiForums Mimi GENTAMYCINE niliwaonyeni kuhusu Kumsajili Mtukutu Bernard Morrison na kuwaambieni kuwa hamtomuweza kwani kama ameshindikana katika Klabu ya Wasomi, Werevu na Wastaarabu ya Simba nyie huko Kwenu mngemuweza?

Haya mpunguzeni Mmoja upesi Ok?
 
Ninavyo fahamu Mimi Caf wameruhusu timu kusajili wachezaji 40 katika mashindano yote haijalishi ni mchezaji wa ndani au wakigeni, Tff wao wanahitaji wachezaji 12 wakigeni na Yanga Wana 13.

Nilicho sikia Gael Bigilimana wanampango wa kumuondoa katika wachezaji wa Ligi ya ndani na atacheza kwenye mashindano ya kimataifa tu.

Wengine 12 wa kigeni watacheza mashindano ya Caf na ligi kuu. Kinachobaki ni makubaliano baina ya Yanga na Bigilimana kuhusu jambo ilo.
 
Ninavyo fahamu Mimi Caf wameruhusu timu kusajili wachezaji 40 katika mashindano yote haijalishi ni mchezaji wa ndani au wakigeni, Tff wao wanahitaji wachezaji 12 wakigeni na Yanga Wana 13.

Nilicho sikia Gael Bigilimana wanampango wa kumuondoa katika wachezaji wa Ligi ya ndani na atacheza kwenye mashindano ya kimataifa tu.
Wengine 12 wa kigeni watacheza mashindano ya Caf na ligi kuu. Kinachobaki ni makubaliano baina ya Yanga na Bigilimana kuhusu jambo ilo.
Off Point na Pole sana.
 
Dirisha si limeshafungwa? Au maana ya dirisha kufungwa ni nini kama Uto bado wanajiumauma?
Ao wachezaji wapo kwenye System ya CAF mda mrefu, kinacho fanyika ni kufuta upande wa wachezaji wanao shiriki ligi ya ndani na kuwaacha walio katika mashindano ya Caf. Hakuitajiki kibali ni barua kutoka Yanga kwenda Tff itakayo ainisha izo adjustment.
 
Ao wachezaji wapo kwenye System ya CAF mda mrefu, kinacho fanyika ni kufuta upande wa wachezaji wanao shiriki ligi ya ndani na kuwaacha walio katika mashindano ya Caf. Hakuitajiki kibali ni barua kutoka Yanga kwenda Tff itakayo ainisha izo adjustment.
Again Off Point na Pole sana Kiongozi.
 
Ao wachezaji wapo kwenye System ya CAF mda mrefu, kinacho fanyika ni kufuta upande wa wachezaji wanao shiriki ligi ya ndani na kuwaacha walio katika mashindano ya Caf. Hakuitajiki kibali ni barua kutoka Yanga kwenda Tff itakayo ainisha izo adjustment.
Poleni sana. Shida yote hiyo ya nini, hamna hela ya kuvunja mikataba?
 
Wali sajili. Handsomes kitoka pande mbali mbali za afrika , wengi wao wame perform vyemaaaaaaa ila baaadhi kama bilinganya , wakawa nyanya kabisa bila bila ...






Hint; nipo bar kama komenti hii imekugusa nipo kaunta njoo tunywe bia na ku likes
 
Ninavyo fahamu Mimi Caf wameruhusu timu kusajili wachezaji 40 katika mashindano yote haijalishi ni mchezaji wa ndani au wakigeni, Tff wao wanahitaji wachezaji 12 wakigeni na Yanga Wana 13.

Nilicho sikia Gael Bigilimana wanampango wa kumuondoa katika wachezaji wa Ligi ya ndani na atacheza kwenye mashindano ya kimataifa tu.

Wengine 12 wa kigeni watacheza mashindano ya Caf na ligi kuu. Kinachobaki ni makubaliano baina ya Yanga na Bigilimana kuhusu jambo ilo.
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...masikini kwahiyo atacheza game 5 mwaka mzima huu?maana mnasepeshwa makundi[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Habari yako GENTAMYCINE, hebu njoo hapa kwenye haya magorofa karibu na stand yetu pendwa iliozungukwa na maduka mengi ya simu fake mbele kidogo ya magorofa kuna yard ya magari uje unisaidie kuchagua
Siwezi kuja hapo Mkuu labda tuonane sehemu nyingine kwani kuna Demu hapo Nilimkopa 'Mbunye' na mpaka leo sijamlipa kutokana na Utamu wake Tukuka alionipa Kitandani hivyo nikija hapo najua atanijazia tu Inzi na itakuwa Noma Kwangu.

Dalali gani hapo anakuuzia Gari Mkuu? Kuna Mmoja hapo akikuuzia Gari unapaswa Kwanza uipeleke kwa Mtume Mwamposa jirani hapo ikaombewe kwani Yeye Gari zake zote anazoziuza Kwanza 'Hubandulia' Mademu humo ndani. Yaani Kwake Gari ni Gesti / Loji pia.
 
Yani Angekuwa Mtu mwenye UFAHAMU timamu.
Angeweka hapa Hiyo Orodha ya hao wachezeja
Sema kwasababu ni mbabaishaji tunaishinae tu.....

Kwa msaada na kusaidia
KAMBOLE SI MCHEZAJI WA YANGA.
FULL STOP.
 
Back
Top Bottom