Baada ya Dirisha kufungwa wageni Yanga SC wako 13 badala ya 12 tu wanaotakiwa Kisheria

Baada ya Dirisha kufungwa wageni Yanga SC wako 13 badala ya 12 tu wanaotakiwa Kisheria

Mkuu najua uko karibu na Feisal hebu tuambie hali yake ikojesasa? Baada ya dirisha kufungwa?
 
Kambole alikubali kuwa sehemu ya uongo wa yanga kuwa ametolewa kwa mkopo huko Uganda, hivyo Tff hawamtambui na hayupo kwenye orodha ya wachezaji wa yanga....
 
Sasa Simba inahusikaje hapa Sheikh?
Kuna usemi unaosema nyani haoni..... Ingekuwa kuvunja mikataba ni jambo jepesi timu yako ina mizigo kibao ila wameona bora ni kheri kuwaomba wapelekwe kwa mkopo
 
Jana wamecheza 7 waliobaki Bangala, Morison, aucho, bigirmana, Aziz k na Doumbia watano naona kunanukia timu kupelekwa fifa
 
Kuna usemi unaosema nyani haoni..... Ingekuwa kuvunja mikataba ni jambo jepesi timu yako ina mizigo kibao ila wameona bora ni kheri kuwaomba wapelekwe kwa mkopo
Mna bahati hao "mizigo" hawakucheza jana mngeona moto wao.

Bado sijaelewa mantiki ya kuiingiza Simba kwenye mjadala. Hivi si ni nyie msemaji wenu anahoji usajili wa Beleke? Kashupaza kabisa hadi kasahau majukumu yake.
 
Kuna usemi unaosema nyani haoni..... Ingekuwa kuvunja mikataba ni jambo jepesi timu yako ina mizigo kibao ila wameona bora ni kheri kuwaomba wapelekwe kwa mkopo
Pia kwa hoja yako unataka kusema huyo mchezaji wa SBS ni wao waliotaka kuachana naye au ni Yanga waliokuwa wanamtaka kwanza. Najua unajua nilitaka kusema nini ila kukukumbusha tu huo ndiyo msingi wa hoja yangu. Twende.....
 
Uongozi wa Yanga SC na wana Yanga SC msione Aibu Kutangaza kuwa mnapanga kuachana na Mtukutu Bernard Morrison ili kubaki na Wachezaji 12 Wanaotakiwa.

Na taarifa za ndani kabisa kutoka kwa Wanyetishaji wangu wanasema kuwa hata Kocha Mkuu wenu Nabi hamtaki Morrison japo baadhi ya Viongozi mnataka Kumfyeka Bigirimana au Kisinda ambao Kocha Nabi anawahitaji na bado anawakubali japo sometimes wana ups and and downs za hapa na pale.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said nasikia Msemaji wenu Ali Shabaan Kamwe anamalizia Kukuandikia Maelezo ambayo muda mfupi ama Leo au Kesho utaita Press na Kulizugumzia hili.

Na mkimuacha Gael Bigirimana mpeni na Shilingi zake Milioni 700 anazozitaka ili muachane nae kwa Amani na mkimuacha Twisila Kisinda jiandaeni Kununiwa na Kususiwa na Malaika Wenu Takatifu Fiston Mayele ambaye ameshasema hataki kusikia Bandeko Nangai (Mkongo) Mwenzake huyo na Rafiki yake wa karibu tokea Kwao DRC anaachwa ndani ya Kikosi/Klabu ya Yanga.

Mtaficha mambo yenu/taarifa zenu za ndani ila GENTAMYCINE nitazipata tena haraka hata kuliko wana Yanga SC lia lia kama akina Frank Wanjiru wa hapa JamiiForums.

Nakumbuka mwaka jana tena hapa hapa JamiiForums Mimi GENTAMYCINE niliwaonyeni kuhusu Kumsajili Mtukutu Bernard Morrison na kuwaambieni kuwa hamtomuweza kwani kama ameshindikana katika Klabu ya Wasomi, Werevu na Wastaarabu ya Simba nyie huko Kwenu mngemuweza?

Haya mpunguzeni Mmoja upesi Ok?
Ule usajiri wenu bora mngemsajiri Kitenge wa baso Saut au Eto wa Saut
 
Uongozi wa Yanga SC na wana Yanga SC msione Aibu Kutangaza kuwa mnapanga kuachana na Mtukutu Bernard Morrison ili kubaki na Wachezaji 12 Wanaotakiwa.

Na taarifa za ndani kabisa kutoka kwa Wanyetishaji wangu wanasema kuwa hata Kocha Mkuu wenu Nabi hamtaki Morrison japo baadhi ya Viongozi mnataka Kumfyeka Bigirimana au Kisinda ambao Kocha Nabi anawahitaji na bado anawakubali japo sometimes wana ups and and downs za hapa na pale.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said nasikia Msemaji wenu Ali Shabaan Kamwe anamalizia Kukuandikia Maelezo ambayo muda mfupi ama Leo au Kesho utaita Press na Kulizugumzia hili.

Na mkimuacha Gael Bigirimana mpeni na Shilingi zake Milioni 700 anazozitaka ili muachane nae kwa Amani na mkimuacha Twisila Kisinda jiandaeni Kununiwa na Kususiwa na Malaika Wenu Takatifu Fiston Mayele ambaye ameshasema hataki kusikia Bandeko Nangai (Mkongo) Mwenzake huyo na Rafiki yake wa karibu tokea Kwao DRC anaachwa ndani ya Kikosi/Klabu ya Yanga.

Mtaficha mambo yenu/taarifa zenu za ndani ila GENTAMYCINE nitazipata tena haraka hata kuliko wana Yanga SC lia lia kama akina Frank Wanjiru wa hapa JamiiForums.

Nakumbuka mwaka jana tena hapa hapa JamiiForums Mimi GENTAMYCINE niliwaonyeni kuhusu Kumsajili Mtukutu Bernard Morrison na kuwaambieni kuwa hamtomuweza kwani kama ameshindikana katika Klabu ya Wasomi, Werevu na Wastaarabu ya Simba nyie huko Kwenu mngemuweza?

Haya mpunguzeni Mmoja upesi Ok?

Uhalisia ni kuwa Bigirimana ndio atakatwa jina ktk mashindano ya NBC na jina lake litakuwa ktk mashindano ya Caf
 
Shida ya priduct za SAUT ndio hii.... Umbea umbea kama watoto wa kike
 
Ninavyo fahamu Mimi Caf wameruhusu timu kusajili wachezaji 40 katika mashindano yote haijalishi ni mchezaji wa ndani au wakigeni, Tff wao wanahitaji wachezaji 12 wakigeni na Yanga Wana 13.

Nilicho sikia Gael Bigilimana wanampango wa kumuondoa katika wachezaji wa Ligi ya ndani na atacheza kwenye mashindano ya kimataifa tu.

Wengine 12 wa kigeni watacheza mashindano ya Caf na ligi kuu. Kinachobaki ni makubaliano baina ya Yanga na Bigilimana kuhusu jambo ilo.
Wachezaji wapo 12 tu
Kambole usimuhesabu...
 
Mna bahati hao "mizigo" hawakucheza jana mngeona moto wao.

Bado sijaelewa mantiki ya kuiingiza Simba kwenye mjadala. Hivi si ni nyie msemaji wenu anahoji usajili wa Beleke? Kashupaza kabisa hadi kasahau majukumu yake.
Walivyokuwa timu ya Simba walionesha maajabu dhidi ya Yanga mpaka useme bahati yenu? Simba inaingia kwasababu wewe ni mshabiki wa Simba unahoji habari za Yanga kushindwa kuvunja mkataba kana kwamba nyie labda mmeweza kuvunja mikataba.
Msemaji wa Yanga mmesikia wapi akizungumzia swala la Baleke? Kama ni post ya mtandaoni basi jiridhishe kwanza na account ya aliyetoa post kama ni muhusika.
 
Walivyokuwa timu ya Simba walionesha maajabu dhidi ya Yanga mpaka useme bahati yenu? Simba inaingia kwasababu wewe ni mshabiki wa Simba unahoji habari za Yanga kushindwa kuvunja mkataba kana kwamba nyie labda mmeweza kuvunja mikataba.
Msemaji wa Yanga mmesikia wapi akizungumzia swala la Baleke? Kama ni post ya mtandaoni basi jiridhishe kwanza na account ya aliyetoa post kama ni muhusika.

Binafsi sijawaona wachezaji hao vya kutosha kuweza kusema ni mizigo ingawa nachelea kusema hawawezi kuwa "mizigo". Pia pitia tweet hizi halafu uniambie hii siyo account ya msemaji wenu. Mimi sina nafasi yoyote ya uongozi katika timu kwa hiyo hoja zangu kwa sasa hazina uzito katika mijadala ya aina hii.



 
Yani Angekuwa Mtu mwenye UFAHAMU timamu.
Angeweka hapa Hiyo Orodha ya hao wachezeja
Sema kwasababu ni mbabaishaji tunaishinae tu.....

Kwa msaada na kusaidia
KAMBOLE SI MCHEZAJI WA YANGA.
FULL STOP.
Ameagwa lini kama kina yacuba?
 
Back
Top Bottom